Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
- Thread starter
- #21
WALIMWEUSI, it doesn't necessarily take a man to know that there still error in judgement. Mbona reasons zake ziko very staight n concrete? shati likichafukia kazini ndo aje nalo hivyohivyo? cm ya rafiki yake ikiisha charge ndo asimuazime?
Sikatai, unaweza kumuazima rafiki simu yako endapo simu yake ikiisha charge, lakini ebu fikiria, demu wa rafiki yako anaijua namba ya rafiki yake right? Alipigiwa mchana, sms anaituma saa4 usiku, why asiitume kwa namba ya bwanake na hali ni usiku anajua wazi kuwa bwanake hayupo na huyo mtu? Kuhusu shati, sikatai shati linaweza kuchafuka lakini kwa nini asije nalo nyumbani? Ajabu eti anaona uvivu kuja nali ili hali ana gari ingekuwa kwa daladala angesema kweli alishindwa! Looh! Kazi kweli kweli