Ungekuwa kwenye nafasi hii, ungefanya maamuzi yapi?

Wanawake/ Mabinti wanakua na wakati mgumu sana kwa vile wao hupenda kwa dhati, shida ni kwetu tusio na huruma. Licha ya kushindwa kuwapenda kwa dhati, hata ile kuthamini upendo wao tu ili usimpotezee muda inatushinda. Mfano mzuri ni huyo jamaa aliyemzalisha binti wa watu na kujitutumua kwenda kwa wazazi, utasema aliambiwa hawana uwezo wa kutunza mjukuu.

Mwingine ni huyo jamaa yake, unamtelekezaje mchumba/rafiki bila mawasiliano kwa kipindi kirefu namna hiyo?

Binti aseme ukweli tu japo kuna wakati sio kila ukweli inabidi usemwe.

Kwangu huyo binti ni mvumilivu na mwenye hofu, angeweza hata aitoe hiyo mimba lakini kakubali kuchukua fedheha na adha zote hadi kajifungua ( Na hapa ndio napingana na wale wanaowakejeli na kuwadharau wanaowaita Single Mother japo hili jina silipendi).

Ningekua ndio huyo jamaa ningemuoa tu tuendelee na mipango ya maisha. Tatizo kwa nnavyowafaham wanawake itamsumbua sana kujisamehe na ataishi akijiona mkosefu siku zote, atahitaji msaada wa kisaikolojia na upendo wa hali ya juu kumpa furaha na amani ya kweli.

Mwisho, majibu yangu na mengine yoote yatakayotolewa hapa ni nadharia tu.

Haya mambo magumu sana yakikupata kiuhalisia, unaweza kujikuta unafanya maamuzi amvayo haujawahi kutafikiria.

Ni kama tulivyovamiwa na Covid kila mtu anakuja na suluhu yake.
i appreciate ths👍
 
Msiwe mnatuletea visa ambavyo mwisho wa siku utata unajulikana upo wapi. Hapo wote wameleta mambo ya kisenge....

Mwanaume ndie kaanza kuleta ufala, unasafiri kwenda taifa la mbali sawa ila sasa unaanzaje kuleta ukimya usio na sababu, inamaana hakukuwa na means za kuwasiliana hata kwa Facebook...... Huo si ufala...

Na huyo demu yeye ameshatambulishwa ukweni, miaka miwili yote hakwenda tena ukweni kuwajulia hali ikiwamo kuulizia habari za jamaa....?!

Conclusion:

Acheni kuleta visa au story za kutunga ambazo hazizingatii uhalisia huo ni ufala maana mtu akisoma badala ya kuelimika au kujifunza anapata maudhi...... Coronavirus itusumbue vichwa bado na huu upuuzi pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msiwe mnatuletea visa ambavyo mwisho wa siku utata unajulikana upo wapi. Hapo wote wameleta mambo ya kisenge....

Mwanaume ndie kaanza kuleta ufala, unasafiri kwenda taifa la mbali sawa ila sasa unaanzaje kuleta ukimya usio na sababu, inamaana hakukuwa na means za kuwasiliana hata kwa Facebook...... Huo si ufala...

Na huyo demu yeye ameshatambulishwa ukweni, miaka miwili yote hakwenda tena ukweni kuwajulia hali ikiwamo kuulizia habari za jamaa....?!

Conclusion:

Acheni kuleta visa au story za kutunga ambazo hazizingatii uhalisia huo ni ufala maana mtu akisoma badala ya kuelimika au kujifunza anapata maudhi...... Coronavirus itusumbue vichwa bado na huu upuuzi pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Relax..!
Usikariri maisha..!!
 
Unataka sema stori haijakamilika?


Amwambie ukwel, Na sijaona kosa la binti mahusiano ambayo hamna mawasiliano huwez kuita mahusiano...

Asema alivyopotea hewan ikabd aendlee na maisha yake kama mwanadam wa kawaida naye ana mahitaj yake ya kimwili.

Though hujasema sababu iliyomfanya jamaa apotee hewan kwa muda wote huo ina maana hata familia yake walikua hawawasiliani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mistari ya mwisho nadhani ina majibu ya maswali yako, hivyo ndivyo nilivyoamini pia ila huwezi mshauri hivii mtu aliyependa akakuelewa, Cc; Chindy..!

Turudi kwenye mada.!
Mm ningemwambia kila kitu before anything.

Hivi hii ni nini ati? Zamani nikiwa mjinga full uaminifu hata no sitowi, basi ningemchamba huyo binti aliezaa mpaka basi.
Ila baada ya kunyooshwa na the so called uaminifu hasa kwa hao viumbe waishio mbali sana ahaaaa nani afanye maujinga hayo?

Wewe mwambie ajiamini amwambie ukweli kizuri wote wana watoto, akimuacha its ok.uwezi juwa mtu kumkatia mawasiliano alikuwa na nani huko? Hiyo inaitwa kubalance shobo. You never know with men.

Tujifukize jamani.
 
Mimi kama Mimi ningekuwa binti ningekutana na jamaa alafu nampiga chini apoapo kama angeleta habari za mapenzi ingeniuma Ila ingemsaidia mbeleni kuliko ajiweke kwake tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kumwambia ukweli jamaa aamue kusuka au kunyoa. Na wala asienze kumshutumu kwa kosa la kutokuwa na mawasiliano maana hata wangekuwa wanawasliana bado angetokea mtu wa kumtuliza vinavyowasha na huenda bado mimba ingetokea. Miaka miwili ni mingi hata kwa wanandoa ni ngumu kuvumilia lazima mambo yataharibika tu. Jaribu kufuatilia watu wenye mahusiano ya aina hii unaowafahamu wangapi walivumilia bila kucheat. HAKUNA.

Long distance relationship ni shetani na ni sawa na kukimbiza upepo lazima utaumia tu. Unaweza kuta jamaa naye ameacha watoto kule sema kwake tayari mtoto ataonekana kwa kuwa wako nchi moja. Kama anaipenda damu yake amuambie ukweli tu. Mtoto wake ana thamani kubwa kuliko ndoa inayokuja yenye wasiwasi mwingi wa kugundulika. Miaka miwili mko mbali bila mawasiliano mtu akicheat hakuna kulaumiana hiyo ipo tangu jadi.

Wazee walienda kufanya kazi Johannesburg kwenye migodi enzi hizo na sehemu zingine za Zimbabwe au msumbiji, na kutokana na aina ya miundombinu ya usafiri kuwa duni wakati huo walikaa zaidi ya miaka miwili wakiwa ughaibuni. Na waliporudi walikuta wake zao wana watoto. Walikalishwa chini na maisha yaliendelea ingawa kwa sasa kuna ugumu. Lakini ampe thamani mtoto kuliko ndoa maisha mengine yaendelee. Kama ipoipo tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilo mbona lipo wazi kwa wanaume 99% kama sio wote.


Mimi Ningemwacha tu hamna namna ...namuacha sababu ameufanya ujinga akiwa tayari yuko pamoja namm.




Huwa nasema ivi...Heri kuoa mwanamke ulomjua akiwa tayari ni mwenye mtoto/watoto.... Kuliko kuoa mwanamke ulomjua akiwa hana mtoto, Ila baadae akabeba ujauzito wa mwingine tena mkiwa bado pamoja.



Hapo bidada, nikusema ukweli tu kisha apambane na hali yake.


Kwa sababu Nina imani, hatokaa kumficha Mtoto, nasiku jamaa akiujua, basi watagombana sana hata kuachana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom