Ungekuwa jogoo......?

Ningekusubili bandani kazi yote namalizia bandani kuanzia saa moja jioni mpaka saa 12 asubuhi kabla ya banda kufunguliwa nashushia la mwisho.Mchana mzima akhaaa mimi nasubili jioni tu maana kukimbizana kunachosha sana unambulia mara moja tu.,heri usiku bandani hakuna kukimbizana sana ni papo kwa papo BEBIIIIIIII
 
Napiga kelele usiku mzima hakuna kulala..
Usumbufu kwa kwenda mbele ..... kokoooooorikoooooo halafu nalala mchana ..
 
Kweli JF imekuwa Facebook.. Yaani post ya dem tu(tena post za ki'facebook)..ina comments nyingiii, na likes kibao.... Haya bhana great thinkerz! Bebii..siwezi kujibu hilo swali maana mimi tayari ni kijogoo! :)
 
Kweli JF imekuwa Facebook.. Yaani post ya dem tu(tena post za ki'facebook)..ina comments nyingiii, na likes kibao.... Haya bhana great thinkerz! Bebii..siwezi kujibu hilo swali maana mimi tayari ni kijogoo! :)
sometimes hapa tunaruhusiwa kuwa na fun topic na kucheka na marafiki zetu mkuu
 
sometimes hapa tunaruhusiwa kuwa na fun topic na kucheka na marafiki zetu mkuu
ni kweli Bebii sijakata hilo, ndio maana kuna jukwaa lake. Tehetehetehehe... :) Mimi ninaamini mwanaume angeianzisha hii topic, asingepata post zaidi ya 5, ila kwa kuwa ni wewe Bebii.........
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom