Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,267
Kipofu alimpiga mtu hadi akamuua,
akapelekwa Mahakamani
HAKIMU: kwa nini umefanya ukatili
namna hii?
KIPOFU: Mheshimiwa marehemu
aliniambia "NIPIGE UONE" kwa vile
nina hamu ya kuona nikampiga kwa
nguvu zangu zote, bahati mbaya
akafariki. Ungekuwa hakimu
ungefanyaje?
akapelekwa Mahakamani
HAKIMU: kwa nini umefanya ukatili
namna hii?
KIPOFU: Mheshimiwa marehemu
aliniambia "NIPIGE UONE" kwa vile
nina hamu ya kuona nikampiga kwa
nguvu zangu zote, bahati mbaya
akafariki. Ungekuwa hakimu
ungefanyaje?