Ungefanya nini ukiwa Rais wa Tanzania kwa mwezi mmoja?

Kabla hujaapishwa utakuwa umejipanga tayari.
Tunataka kujua ndani ya mwezi mmoja utakuwa umefanya nini? mwezi ukiisha unaachia ngazi tunaanza kukufanyia evaluation.
Haiwezekani ikawa mwezi mzima hujafanya lolote. Hata yule polisi muuwaji atakushinda?
Tupe mikakati yako, utakapoishia ni hapohapo.

sina uhakika na seriousness ya hoja yako - unachokiongelea ni mere fantasy.
you cant have, in a practical sense, a one-month prototype (experimental) presidency.

lakini kwa vile walau this time ume-specify kuhusu polisi muuaji, huyo atawekwa ndani kama suspect #1. baada ya hapo crime trail ita-unfold yenyewe ku-reveal other suspects. as simple as that!
 
Swali gumu sana mkuu hata hivyo ngoja nijaribu kujibu. Ningeteua watu wenye matazamo chanya wa kuleta maendeleo ya dhati kwa nchi watakaofuatilia mienendo ya wabunge jinsi walivyoingia kwenye uongozi kama ni halali au sivyo hasa kuangalia la rushwa na ghiliba nyingine. Ningewaita viongozi wote wa CCM, wabunge na baadhi ya wanachama kadhaa toka kila mkoa kwa uwiano kulingana na wingi wa wanachama kwenye mkutano wa dharura utakaochukua wiki moja. Kuwe na moderator anayefahamika kwa weledi bila upendeleo. Katika mkutano huo agenda kuu zitakuwa kama zifuatazo:


  1. Kupitia katiba ya chama cha Mapinduzi na kuonyesha mambo yaliyokiukwa au kwa kujua au kwa kutokujua
  2. Kujadili yale yote yalijitokeza kwenye mapitio ili yawe msingi wa kuchukua hatua za kukinusuru chama. (Maoni haya ni shirikishi kwa kuwa wanachama wote wamewakilishwa). Pia wanachama ambao hawakuweza kuhudhuria japo wamewakilishwa, watume maoni yao kwa njia mbalimbali za mawasiliano ya hapo kwa papo
  3. Wanachama wasio viongozi watapiga kura ya siri kuonyesha wabunge na viongozi wengine waliokiuka katiba kwa kushiriki rushwa na mambo mengine.
  4. Kujumuisha kwa pamoja yaliyojiri kutokana na michango yao na wachangie hatua za kuchukua ili ziwe ni kutokana na wao wenyewe kwa njia shirikishi bila kutaja majina. Hii itasaidia kupunguza manung'uniko.
  5. Kuchagua kamati maalum (watu waadilifu na wenye weledi wa taaluma za elimu ya kisiasa na jamii) ya kusaidia kuainisha hatua za kuchukua kulingana na kvifungu vya katiba vilivovunjwa
  6. Kuandaa hadidu rejea kwa ajili ya kamati maalum itakayoundwa

Wakati wote wa mkutano kuwe na ulinzi makali kuzuia rushwa na ghiliba za aina zote na ikiwezekana zitumike njia za kielektroniki kama kamera na mengine kama hayo
Mkutano huu ufanyike katika wiki moja mpaka ya pili ya mwezi Septemba 2012



HADIDU REJEA KWA KAMATI MAALUM YA KUAINISHA HATUA ZA KUCHUKUA DHIDI YA WANACHAMA WA CCM WANAOKIUKA KATIBA YA CHAMA (Muda siku saba)


  1. Kuainisha hatua za kuchuka kulingana na kifungu cha katiba kilichovunjwa na wahusika
  2. Kuorodhesha hatua na wahusika zikijumuisha onyo, onyo kali, kufukuzwa uanachama na kufunguliwa mashtaka bila kujali wadhifa wa mwanachama na wataarifiwe kwa barua kura zilivyoamua juu yao


Wiki ya mwisho ya Septemba, baada ya kusafisha nyumba ya CCM uchaguzi mkuu uitishwe kwa kuzingatia uhuru wa mawazo na itikadi za vyama halali vya kisiasa ilihali hakuna uvunjifu wa sheria za nchi.

Note: Wakati wote huu dhamira na mtazamo viwe ni kukinusuru chama tawala na kuleta utawala wa haki kwa nchi kwa njia ya uchaguzi huru hata kama CCM au chama kingine kitakuwa chaguo la wananchi.
 
Dah utakuwa rais wa aina yake ,hatuhitaji rais km wewe maana hata ukimnyonga huyo bwana bado matatizo ya watanzania yataongezeka, ningekuwa mimi ningefumua jeshi la polisi na hao ntakaowqchagua nitawapeleka shule wajue nini maana ya democrasia,nitasimamia uchumi kwa kuondoa misamaa ya kodi kwa wawekezaji,nitaagiza waliotunza fedha uswis wakamatwe mara moja, nitavunja baraza la mawaziri la wakereketwa na kuunda baraza la uwajibikaji ikiwa ni pamoja na kulipunguza ukubwa wake , pia nitafungua mjadala wa namna watanzania wanavyotaka kuongozwa
Kwenye red, waislamu watakuambia wanataka utumie sharia kutawala. Kama kiongozi wa nchi huwezi kuuliza swali la hivyo. Ni bora:
  1. Kufuata utawala wa sheria ulioainishwa ktk sheria mbali mbali za nchi. Tatizo kuu linalokumba Tanzania ni utawala usiofuata sheria, sheria zipo nyingi na nzuri sana tena sana lakini utekelezaji wake huwa unaangalia mtu na mazingira. Nadhani tungekuwa na rais anayefuata na kusisitiza utawala wa sheria basi tusingekuwa na minung'uniko hii ya leo bali tungekuwa tunaongelea uchumi. Poleni sana watanzania, safari mliyo nayo ya utawala bora ni ndefu sana na kwa bahati mbaya sioni kiongozi yeyote (labda wachache sana ambao hawapendwi na sysytem) anayeweza kulisimamia hili (Mfano hata January Makamba ambaye ana exposure ya kuishi USA lakini leo ana siasa za kulaum na kukandamiza demokrasia na kula rushwa).
 
kwanza nahisi ningezimia huenda ningekufa kabisa kwa presha ya mikataba hovyo na ya kifisadi ntakayokuta, na kama ntabahatika kuamka baada ya kuzimia, ningevuta bangi kwanza, mengine yatakayofuata najua unajua..................
 
Swali gumu sana mkuu hata hivyo ngoja nijaribu kujibu. Ningeteua watu wenye matazamo chanya wa kuleta maendeleo ya dhati kwa nchi watakaofuatilia mienendo ya wabunge jinsi walivyoingia kwenye uongozi kama ni halali au sivyo hasa kuangalia la rushwa na ghiliba nyingine. Ningewaita viongozi wote wa CCM, wabunge na baadhi ya wanachama kadhaa toka kila mkoa kwa uwiano kulingana na wingi wa wanachama kwenye mkutano wa dharura utakaochukua wiki moja. Kuwe na moderator anayefahamika kwa weledi bila upendeleo. Katika mkutano huo agenda kuu zitakuwa kama zifuatazo:


  1. Kupitia katiba ya chama cha Mapinduzi na kuonyesha mambo yaliyokiukwa au kwa kujua au kwa kutokujua
  2. Kujadili yale yote yalijitokeza kwenye mapitio ili yawe msingi wa kuchukua hatua za kukinusuru chama. (Maoni haya ni shirikishi kwa kuwa wanachama wote wamewakilishwa). Pia wanachama ambao hawakuweza kuhudhuria japo wamewakilishwa, watume maoni yao kwa njia mbalimbali za mawasiliano ya hapo kwa papo
  3. Wanachama wasio viongozi watapiga kura ya siri kuonyesha wabunge na viongozi wengine waliokiuka katiba kwa kushiriki rushwa na mambo mengine.
  4. Kujumuisha kwa pamoja yaliyojiri kutokana na michango yao na wachangie hatua za kuchukua ili ziwe ni kutokana na wao wenyewe kwa njia shirikishi bila kutaja majina. Hii itasaidia kupunguza manung'uniko.
  5. Kuchagua kamati maalum (watu waadilifu na wenye weledi wa taaluma za elimu ya kisiasa na jamii) ya kusaidia kuainisha hatua za kuchukua kulingana na kvifungu vya katiba vilivovunjwa
  6. Kuandaa hadidu rejea kwa ajili ya kamati maalum itakayoundwa

Wakati wote wa mkutano kuwe na ulinzi makali kuzuia rushwa na ghiliba za aina zote na ikiwezekana zitumike njia za kielektroniki kama kamera na mengine kama hayo
Mkutano huu ufanyike katika wiki moja mpaka ya pili ya mwezi Septemba 2012



HADIDU REJEA KWA KAMATI MAALUM YA KUAINISHA HATUA ZA KUCHUKUA DHIDI YA WANACHAMA WA CCM WANAOKIUKA KATIBA YA CHAMA (Muda siku saba)


  1. Kuainisha hatua za kuchuka kulingana na kifungu cha katiba kilichovunjwa na wahusika
  2. Kuorodhesha hatua na wahusika zikijumuisha onyo, onyo kali, kufukuzwa uanachama na kufunguliwa mashtaka bila kujali wadhifa wa mwanachama na wataarifiwe kwa barua kura zilivyoamua juu yao


Wiki ya mwisho ya Septemba, baada ya kusafisha nyumba ya CCM uchaguzi mkuu uitishwe kwa kuzingatia uhuru wa mawazo na itikadi za vyama halali vya kisiasa ilihali hakuna uvunjifu wa sheria za nchi.

Note: Wakati wote huu dhamira na mtazamo viwe ni kukinusuru chama tawala na kuleta utawala wa haki kwa nchi kwa njia ya uchaguzi huru hata kama CCM au chama kingine kitakuwa chaguo la wananchi.
Nimekupa 100% Maana yake hapo unamaanisha ni kuheshimu utawala wa sheria! Kitu ambacho naamini ndicho kinachomsumbua JK na utawala wake na ndicho kitakacho mfanya siku moja aje asimame mbele ya mahakama kujibu tuhuma (Hili wana CCM kama akina William Malecela waelewe kuwa ipo siku JK atakuja kusimama mahakamani kujibu shutuma za mauaji).
 
I would try to be the best president ever.


what is best?
Imagine being in charge and calling the shots, what would you do as a president, as the best president ever, EXPLAIN at least 3 things which would make an impact during your tenure.
 
Ningejaribu kwa kila hali kuhakikisha kuwa Tanzania
inaingia kwenye mchakato wa kumiliki silaha Za nyuklia,
Ningebadili katiba na kujiongezea muda, ningebadilisha
mfumo wa utawala uwe wa kifalme.
 
Ningesimamisha shughuli za vyama kwa muda ili watu wakafanye kazi za kuzalisha mali kwanza katika kilimo, ufugaji, viwandani. Wananchi wote masikini sana vijijini na walio katika mazingira magumu watafutiwe shughuli za kujiingizia kipato na kujikimu, shughuli za vyama vyote ningezielekeza huko kuhakikisha watu hawa kwanza wanatoka katika umaskini kwa shughulki zao wenyewe.

Ningebadili jukwaa la siasa hapa JF kuwa jukwaa la kilimo na uzalishaji, kwa kuwa wanasiasa nitakuwa nimeshawapa ban hapo juu then hakutakuwa na cha kuandika na kuchangia. Kuongeza capacity ya magereza na kusimamia sheria kama zilivyo andikwa ili mkizingua tu unajikuta ndani ya bar mpaka mnatakapo nyooka ndio tutayabadili kuwa shule baadae. Wabunifu, wagunduzi na kuenziwa kwanza wataendelezwa na kupewa priveledge zote kama viongozi wa juu, yaani wanapita VIP lounge na gamba jeusi tax exemption na ulinzi wa dola. watu magumashi woote watashika adabu ndani ya huo huo mwezi.
 
Ningesimamisha shughuli za vyama kwa muda ili watu wakafanye kazi za kuzalisha mali kwanza katika kilimo, ufugaji, viwandani. Wananchi wote masikini sana vijijini na walio katika mazingira magumu watafutiwe shughuli za kujiingizia kipato na kujikimu, shughuli za vyama vyote ningezielekeza huko kuhakikisha watu hawa kwanza wanatoka katika umaskini kwa shughulki zao wenyewe.

Ningebadili jukwaa la siasa hapa JF kuwa jukwaa la kilimo na uzalishaji, kwa kuwa wanasiasa nitakuwa nimeshawapa ban hapo juu then hakutakuwa na cha kuandika na kuchangia. Kuongeza capacity ya magereza na kusimamia sheria kama zilivyo andikwa ili mkizingua tu unajikuta ndani ya bar mpaka mnatakapo nyooka ndio tutayabadili kuwa shule baadae. Wabunifu, wagunduzi na kuenziwa kwanza wataendelezwa na kupewa priveledge zote kama viongozi wa juu, yaani wanapita VIP lounge na gamba jeusi tax exemption na ulinzi wa dola. watu magumashi woote watashika adabu ndani ya huo huo mwezi.

Kwa nini usianzishe hilo jukwaa la kilimo tangu leo? in fact ni wazo mtambuka. Sioni wachangiaji wengi kuhusu maswala ya kilimo
 
Ningesimamisha shughuli za vyama kwa muda ili watu wakafanye kazi za kuzalisha mali kwanza katika kilimo, ufugaji, viwandani. Wananchi wote masikini sana vijijini na walio katika mazingira magumu watafutiwe shughuli za kujiingizia kipato na kujikimu, shughuli za vyama vyote ningezielekeza huko kuhakikisha watu hawa kwanza wanatoka katika umaskini kwa shughulki zao wenyewe.

Ningebadili jukwaa la siasa hapa JF kuwa jukwaa la kilimo na uzalishaji, kwa kuwa wanasiasa nitakuwa nimeshawapa ban hapo juu then hakutakuwa na cha kuandika na kuchangia. Kuongeza capacity ya magereza na kusimamia sheria kama zilivyo andikwa ili mkizingua tu unajikuta ndani ya bar mpaka mnatakapo nyooka ndio tutayabadili kuwa shule baadae. Wabunifu, wagunduzi na kuenziwa kwanza wataendelezwa na kupewa priveledge zote kama viongozi wa juu, yaani wanapita VIP lounge na gamba jeusi tax exemption na ulinzi wa dola. watu magumashi woote watashika adabu ndani ya huo huo mwezi.

good luck
 
1. ningejitathimini kwanza je uwezo ninao wa kufanya mambo mazuri mwenyewe katika nchi hii kubwa? kama laa basi nitaunda Think Tank ya nchi itakayokuwa na watu 20 wenye weledi kutoka taaluma mbali mbali na wazalendo wanipe mawazo chanya na yakutekelezeka.

2. ningetoa amri ya kipindi cha mpito kuwa askari polisi kwamba ni lazima wasome walau diploma ya sheria na somo kuu liwe haki za binadamu na demokrasia ya vyama vingi

3. taaluma ya waziri lazima iendane na wizara anayoongoza na asiwe Dr. wala Prof. hawa wakafanye research au wakakufunzi vyuoni.

4. ningewapa waalimu na madaktari kipao mbele kwa kuwapa mishahara mizuri na vifaa ili taifa liwe na afya na elimu nzuri.

5. priority kwa kipindi cha uongozi wangu ingekuwa yote tisa kumi viwanda vikubwa vyenye kutumia malighafi za nchini ili kutengeneza hub ya kuruhusu mzunguko wa hela kwa njia halali na kutengeneza ajira.
 
Muda wa mwezi mmoja ni mfupi mno kutimiza malengo yangu; hata hivyo nitatumia angalau siku 20 kutembelea migodi ya dhahabu, siku 5 kutembele Benki Kuu na siku 5 za mwisho kwa mapumziko katika mbuga ya Selous.
 
kwaeli maoni ya wana c.c.m ni ya kitoto. nimeyasoma mpaka nikapata kichefuchefu. hawjui hata kujenga hoja ndio maana munataukanwa humu jf
 
Kila mmoja wetu nadhani kwa njia moja ama nyingine ameguswa na matukio ya kila aina yanayotokea hapa nchini. Watu wengi wamekuwa wakirusha lawama za kila aina kwa mh. JK.
Sasa inawezekana kabisa hapo alipo amezidiwa na hajui afanye nini kwani aidha washauri wake wakuu wanamuangusha ama hawasikilizi au inawezekana pia, wote hawana mikakati yoyote. Inawezekana kabisa wanaona nchi inavyokwenda ni sahihi kabisa.
Sasa je mwana JF, ungefanya nini katika kipindi cha mwezi mmoja tu ambacho ungejaliwa kuwa RAIS wa nchi hii?

Only constructive suggestions and opinions are needed na wala si utani na matusi kwani tunakusanya maoni tuyafanyie
kazi.

KARIBUNI KUCHANGIA.
:welcome:


Ningeifuta Tanzania na kuinganisha na Rwanda ili maendeleo yachukuwe mkondo wake ikiwemo pamoja na kunyonga wezi wote wa raslimali za Nchi hii akiwemo Kikwete na Genge lake la wahuni.
 
Back
Top Bottom