kumbuka ni wewe na wala si jk
Hata kama ni mimi ningejiuzulu kwa aibu
kumbuka ni wewe na wala si jk
ushoga?????????????????
Ningemweka SLAA Ndani... JELA. Kifungo cha maisha.
katiba kwa mwezi mmoja haitoshi ningejipunguzia madaraka ya kikatiba , kwa kuweka viraka ,presidential appointment naanza nao hawa ,ningeteneza sera za usimamizi wa mafuta ,uranium, ningeweka maadili nini rais anatakiwa afanye na nini hatakiwi kufanya kwa miaka mingi mbele ,utaifa ,umoja ,.elimu mfumo uliopo ningeufuta kopy na paste mifumo yenye tija kwa taifa .afya ningepitia mfumo uliopo unakidhi mahitaji ya watanzania ?uchumi ,wataalamu ningeweka policy watumike ipasavyo ndani kwanza.
washauri wanamwngusha? ..hizi bangi!
1. Ningevunja Baraza la Mawazili na kuajili mawaziri wapya kwa kuzingatia sifa za kazi husika.
2. Ningetangaza kufuta mikataba yote ya madini na kuweka mipya yenye maslahi kwa Taifa.
3. Ningevunja TAKUKURU na TISS na kuunda vyombo vipya huru vyenye wawakilishi kutoka Taasisi huru na wataalamu waliobobea.
4. Ningefufua Mwatex, Kilitex, Mutex na viwanda vingine vikubwa na kufuta ushuru wa mazao yanayouzwa nje.
5. Ningevunja Bunge, nikaunda Tume huru ya Uchaguzi na Kufanya Uchaguzi Maalumu wa Wabunge.
sidhani kama ni sahihi kupata majibu kwa matukio mbalimbali (ambayo hata hujaya-speficy) ndani ya mwezi mmoja kama raisi, utaishia kutoa solutions nyepesi tu. by the way.... realistically speaking, hakuna uraisi wa majaribio ya mwezi mmoja!
nyingi ya changamoto zinazotokea unapokuwa ni kiongozi katika ngazi hiyo yanaweza kuwa yamesababishwa ama na mfumo dhaifu au watu dhaifu.
so unapoingia madarakani kama raisi:
1/lazima kwanza utafakari namna ya kuteua aina ya watu watakaounda timu (cabinet) unayoihitaji - to be completed 2 weeks after being sworn in as president
2/ you need to impart your philosophy into the new team - completed 1 week after cabinet swearing in
3/kwa kushirikiana na cabinet yako mpya unahitaji ku-review ufanisi wa watendaji mbalimbali waliopo serikalini wakati huo (incumbents) for possible restructuring - 1 month after cabinet swearing in
4/ndani ya kipindi hiki cha mwanzo wa uraisi wako kukiwa na matukio yoyote ya udhaifu kwenye ufanisi miongoni mwa idara au watendaji, refer 3 above.
so you need at least 7 weeks to get rid of any dead wood from your system
Unatupima akili zetu au,
1. Hakuna RAISI WA MWEZI SEPTEMBER
2. UNAKIUKA IBARA YA KATIBA YA NCHI HII KWA KUTANGAZIA UMMA RAISI WA MWEZI MMOJA.
3. UNADHARILISHA NCHI MAANA RAISI UCHAGULIWA NA WANANCHIA
4. KIPINDI CHA URAISI NI MIAKA 5
6. MODERATOR CONTROL THREAD
kwa nini? Ama kwa kosa gani?For being pathetic,insignificant and ENEMY OF THE REPUBLIC.
Ningefanya haya:
- Natangaza hali ya hatari (state of emergency)
- Nasimamisha katiba (Suspend the contitution)
- Navunja bunge
- Nasimamisha shughuli zote za kisiasa ikiwemo CCM
- Halafu natawala mpaka nichoke.halafu strict press cencorship....i will declare myself as a divine ruler.....castrate all homosexuals......construction of concentration camp special kwa viongozi wastaafu......ndafukuza waarabu na wahindi maana ndiyo wahujumu uchumi wakubwa.....
in a month ??? i might be the worst president ever...u cant change in Tanzania in a month...swali la kitoto hili>