k-bee
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 898
- 979
Wasaalaaam ndugu! Nashida na unga wa majani ya mlonge nitapata wapi nipo Shinyanga kwa sasa.
Nmekunywa madawa sana kwa ajili ya tiba mbalimbali najihisi mwili mzito baaada ya kufuatilia nmepata fununu mlonge unasaidia kuondoa sumu mwilini kwa hiyo nauhitaji kwa ajili ya kazi hiyo
Nmekunywa madawa sana kwa ajili ya tiba mbalimbali najihisi mwili mzito baaada ya kufuatilia nmepata fununu mlonge unasaidia kuondoa sumu mwilini kwa hiyo nauhitaji kwa ajili ya kazi hiyo