Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 6,986
- 12,404
- Thread starter
- #21
Kwa coment hii watakuja watu huko PM. Mi na ukubwa wangu nimekuja kugundua mwaka huu kuwa huo unga ni dili.Huu unga huwa unachanganywa na kinyesi cha mnyama flani (naomba nisimtaje hapa) kisha wanachukua mchanganyiko wanauza kilo moja shs laki 8 kwa ajili ya matumizi (naomba nisitaje matumizi)