Unga Unga wapelekwa kwa mkemia mkuu

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
Jeshi la Polisi limesema kuwa unga unga uliokutwa kwenye baadhi ya viti vya Wabunge wiki iliyopita baada ya Mhe. Chenge kuvipitia "akitafuta mahali pa kukaa" utapelekwa kwa Mkemia Mkuu wa serikali Jijini Dar kwa uchunguzi zaidi. Hayo yamesemwa na Jeshi la Polisi leo na wameahidi kuwa matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa mara moja.

My Take:

Pelekeni Scotland Yard...!!
 
Jeshi la Polisi limesema kuwa unga unga uliokutwa kwenye baadhi ya viti vya Wabunge wiki iliyopita baada ya Mhe. Chenge kuvipitia "akitafuta mahali pa kukaa" utapelekwa kwa Mkemia Mkuu wa serikali Jijini Dar kwa uchunguzi zaidi. Hayo yamesemwa na Jeshi la Polisi leo na wameahidi kuwa matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa mara moja.

My Take:

Pelekeni Scotland Yard...!!

Nonsense! Wastage of time! Attention diversion! Stupidity. Wameshakubaliana sio uchawi wala sumu sasa wanatupotezea nini muda wetu? Wajinga hao wanapeleka unga wa mahindi. Kwa nini ule unga wenyewe walibaki nao?

Asha
 
Jeshi la Polisi limesema kuwa unga unga uliokutwa kwenye baadhi ya viti vya Wabunge wiki iliyopita baada ya Mhe. Chenge kuvipitia "akitafuta mahali pa kukaa" utapelekwa kwa Mkemia Mkuu wa serikali Jijini Dar kwa uchunguzi zaidi. Hayo yamesemwa na Jeshi la Polisi leo na wameahidi kuwa matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa mara moja.

My Take:

Pelekeni Scotland Yard...!!


d__f_o_forensicscience_private_docs_infoidx_21_20070222143205_e.jpg
Forensic Expert

Hapa nafikiri tunahitaji "forensic expertism" katika mambo kama haya. Nna mashaka na maabara ya huyo GP yako salama kiulinzi!
 
Hawa Polisi wanapeleka hiyo sample kwa Mkemia mkuu siku Nane baada ya tukio? kuna kitu kinafichwa hapo,ndio hayo mazingaombwe wanaozungumza wana-members humu,huko kwa Mkemia Mkuu kutapelekwa unga wa Mahindi kama sio Dengu!!.Ni nini kilifanywa na Polisi kwa siku zote nane?Ngoja tusubiri Majibu ya Mkemia Mkuu,Kweli Tanzania ni kichwa cha Mwendawazimu...
 
Hivi kuna mtu anayejua "chain of custody" inavyofanya kazi katika kukusanya forensic evidence from a crime area?
 
Kumbe kutafuta kiti kumegeuka unga?

Nafikiri Spika hatakubaliana na upuuzi huu na wabunge lazima wahakikishe uchunguzi wa kina unafanyika kwa garama yoyote.
 
KAMA CCM WALIMPUUZIA MWALIMU NA KUWAWEKA MAADUI WAKUBWA WA WATANZANIA AMBAO NI MAFIA WALIOKITEKA CHAMA KWA KUSAIDIANA NA MAFIOSO MKAPA ALIYEAMINIWA NA MWALIMU PAMOJA NA WANANCHI...THEN WAMELIWA?
MWALIMU ALIKATAA KABISA KIKWETE NA LOWASSA...MITAMBIKO NA MISAMAHA WAKATI YUKO KABURINI HAIFANYI KAZI TENA....RUDISHENI NCHI KWA WANANCHI LA SIVYO NCHI IGAWANYWE NA MISUKULE WAENDELEE NA MABOSI WAO WACHAWI NA SISI WAZALENDO TUENDELEE KUIJENGA NCHI KWA KUPITIA USHIRIKIANO NA WALE WANANCHI AMBAO UCHAWI BADO HAUJAWAPUMBAZA ILI TUPATE MAHALI PA KUANZIA KUIKOMBOA NCHI!
MKITEGEMEA KIKWETE AFANYE KITU NI SAWA NA KUTUMBUKIA CHOONI HUKU UKITEGEMEA MSAADA WA KUJA KUTOLEWA...Tatizo hapo ni kuwa ukishatumbukia chooni hata ukitolewa huko bado akili zako zitakuwa FYATU!
 
Kwani mkemia mkuu anaweza kuujua uchawi?

wangepeleka sumbawanga,bagamoyo. tanga na kigoma au pemba na sio kwa mkemia asiyejua kusoma nyota.
 
Jeshi la Polisi limesema kuwa unga unga uliokutwa kwenye baadhi ya viti vya Wabunge wiki iliyopita baada ya Mhe. Chenge kuvipitia "akitafuta mahali pa kukaa" utapelekwa kwa Mkemia Mkuu wa serikali Jijini Dar kwa uchunguzi zaidi. Hayo yamesemwa na Jeshi la Polisi leo na wameahidi kuwa matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa mara moja.

My Take:

Pelekeni Scotland Yard...!!

Mzee mwenzangu hawa hawana lolote, hujasikia kuwa wanasema hawamjui ni nani aliefanya hivyo?? ooohh camera hazionyishi vzurii....oooohh...sijui nini nini???? wametumwagia tuu tena michanga machoni huyo mkemia hatakuwa nampya kabisa , ume sahau kunamtu hapa alisema kuna wakati wakemia walikufa kwa mfululizo kwa sbb za kutatanisha wakati chakula chenye sumu cha Mohamed Enterprises kimepelekwa pale kwa uchunguzi???? kwani yeye mkemia ndio anapenda kufa???????????????? hakuna kitu hapo....
 
Jeshi la Polisi limesema kuwa unga unga uliokutwa kwenye baadhi ya viti vya Wabunge wiki iliyopita baada ya Mhe. Chenge kuvipitia "akitafuta mahali pa kukaa" utapelekwa kwa Mkemia Mkuu wa serikali Jijini Dar kwa uchunguzi zaidi. Hayo yamesemwa na Jeshi la Polisi leo na wameahidi kuwa matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa mara moja.

My Take:

Pelekeni Scotland Yard...!!

Mkuu Mkjj,

Kama Mkuu wa TAKURURU aliweza kuwasafisha maharamia wa RICHMOND kwanini huyu Mkemia mkuu asiweze kumsafisha Mwizi,Mchawi?
 
Hivi kuna mtu anayejua "chain of custody" inavyofanya kazi katika kukusanya forensic evidence from a crime area?

Mkuu Mwanakijiji,

Nafikiri kwa "chain of custody" hapo haijafanyika na mpaka sasa kila kitu kimevurugwa.

Kwa hio hapo kumebakia ni hadithi tu.

Kwa sababu chain of custody inaenda chnonologically, basi nahisi hapakuwepo hatua zozote za seizure, control, transfer na kadhalika, kwa kuzingatia kwamba pengine hapajafunguliwa mashtaka yoyote ya madai.

Hivyo basi, chain of custody hapa haipo.
 
haya ni mazingaobwe!
baada ya wiki unga unapelekwa kwa kemia?
sijui wa ugali au wa muhogo?
kaazi kweli kweli,
tusubiri majibu !
 
Mkuu Mkjj,

Kama Mkuu wa TAKURURU aliweza kuwasafisha maharamia wa RICHMOND kwanini huyu Mkemia mkuu asiweze kumsafisha Mwizi,Mchawi?

Kama Joti (JK) amewasafisha watuhimiwa wa Richmond na mwizi MKAPA kakusema aache apumzike ataacha mkumsafisha mumwagasumu/muuaji/vijisenti/anapeleka suti dry cleaner Uk zikafuliwe/mwizi/mzee wa majivuno/ mzee mpenda chini/mchawi???????????????????
 
Siamini ninayo yasoma hapa kama ni kweli bais tuna serikali ya ajabu ya Kombe kuwahi tukio la majambazi na kuua watu lakini watuhumiwa wa ufisadi ni raia wema na CCM haina hata mpango wa kuwavua uanachama wala kuwashitaki.Polisi hamna haja ya kupeleka majivu ya maparachichi kwa mkemia maana nani atakaye wauliza ?Nchi yenu bwana .
 
Mwawado said:
Hawa Polisi wanapeleka hiyo sample kwa Mkemia mkuu siku Nane baada ya tukio? kuna kitu kinafichwa hapo,ndio hayo mazingaombwe wanaozungumza wana-members humu,huko kwa Mkemia Mkuu kutapelekwa unga wa Mahindi kama sio Dengu!!.Ni nini kilifanywa na Polisi kwa siku zote nane?Ngoja tusubiri Majibu ya Mkemia Mkuu,Kweli Tanzania ni kichwa cha Mwendawazimu...

Mwawado,

..ndiyo maana wengine tukasema bora hizo "video" zinge-leak huku kwenye public.

..sasa hivi kuna Wabunge wametajwa kwa majina wanasema walikuwepo ndani ya ukumbi wa bunge wakati mbunge ambaye jina lake halitajwi akifanya "vitu vyake."

..pia kama ni masuala ya ndumba tu basi naweza kukubali kwamba ni Chenge[he was acting alone] peke yake anayehusika.

..kama suala hili linahusisha sumu, tena zile kalikali za kimataifa, nalazimika kuamini kwamba suala hili linahusisha watu wakubwa/wazito zaidi ya Chenge.
 
Its obvious sio cocaine wala heroin, sasa hebu niambieni hata kama itakuja kugundulika huko kwa mkemia mkuu kuwa ni unga wa muhogo au mahindi- kosa hapa litakuwa lipi? Sheria zetu za bunge zinagusa mambo ya ushirikina?
 
sasa huo unga walikuwa wanakaa nao kwa siku nane ili kiwe nini?

a. wanaunusa kuona kama ni sumu? - hawakupata harufu yeyote
b. Wanaulamba kuonja utamu wake?- si mchungu na si sukari hauna ladha
c. Wanaupekecha kupima chembe zake? - si mchanga na si laini sana


Vinginevyo walikuwa wanakaa na huo unga ili kiwe nini kama hawana uwezo wa kuuchunguza. Hivi kama ni unga wenye madhara na umetokea Bungeni inachukua siku nane kuamua kupeleka kwa mkemia mkuu (inatakiwa wawe wamepata majibu ndani masaa 24).

Kwa hiyo, naomba niyakatae matokeo ya uchunguzi wake kwa sababu the process has been compromised, evidence tampered with and chain of custody ignored. Kama Jeshi la Polisi linafanya hivi kazi itakuwaje kama aliyefanya hivyo si Mbunge bali ni ghaidi aliyevalia kama mbunge na ana kisasi na Tanzania kwa kumkaribisha Bush?... si tutakuwa tumekwisha sisi...
 
Back
Top Bottom