Unga na vijana

smartj

JF-Expert Member
Oct 7, 2016
296
151
Ni ukwel usio pingika vijana wengi wanaishi maisha ya maigizo , ndio sababu kubwa inapelekea kutumia madawa ya kulevya hawatak kuwa wavumilivu na kupambana na hali halisi ya maisha si lazima kuishi kwa anasa ishi maisha yako wala si dhambi [HASHTAG]#ujanjaujanja[/HASHTAG] utatupoteza vijana tuwe wavumilivu na wapambanaji.
 
Ni ukwel usio pingika vijana wengi wanaishi maisha ya maigizo , ndio sababu kubwa inapelekea kutumia madawa ya kulevya hawatak kuwa wavumilivu na kupambana na hali halisi ya maisha si lazima kuishi kwa anasa ishi maisha yako wala si dhambi [HASHTAG]#ujanjaujanja[/HASHTAG] utatupoteza vijana tuwe wavumilivu na wapambanaji.
 
nilikuwa nimekaa na wadogo zangu mahali wanaipa offer ya maji ya mende .. katika kupiga story hapa na pale madogo ndiyo wameanza vikazi kazi lakini wanamalengo makubwa mnoo ndani ya mda mfupi .. ni wauliza je zaidi ya kzai mnamipango gani mingine ya kujiingizia kipato wanajikanyaga , nikawapiga dongo nyie ndiyo mkiambia mkaibe mtaenda ili tu mlingane na fulani.. maisha ni kutafuta lakini kutafuta kwa namna nzuri utafanikiwa tu ...

vijana lazima tujue hata ubuyu ulianza kama mchicha . usijilinganishe na yeyeyote ila kuwa ana wivu wa maendeleo
 
awamu na nne imewaharibu sana vijana mkuu maana kuliibuka vijana wengi wenye utitiri wa mafanikio ya gafla

unakuta kijana ana mwezi kazini kashaotesha mjengo mbweni masaiti hili liliwachanganya sana vijana na kujikuta wanatumbukia katika Tamaa na kutaka maisha ya haraka
 
nilikuwa nimekaa na wadogo zangu mahali wanaipa offer ya maji ya mende .. katika kupiga story hapa na pale madogo ndiyo wameanza vikazi kazi lakini wanamalengo makubwa mnoo ndani ya mda mfupi .. ni wauliza je zaidi ya kzai mnamipango gani mingine ya kujiingizia kipato wanajikanyaga , nikawapiga dongo nyie ndiyo mkiambia mkaibe mtaenda ili tu mlingane na fulani.. maisha ni kutafuta lakini kutafuta kwa namna nzuri utafanikiwa tu ...

vijana lazima tujue hata ubuyu ulianza kama mchicha . usijilinganishe na yeyeyote ila kuwa ana wivu wa maendeleo
Tamaa na maisha yalio nje ya kipato mwisho wake ndio uwe ila hawaelew na ukiwashaur wanaona ww unae shaur ndio huelew
 
awamu na nne imewaharibu sana vijana mkuu maana kuliibuka vijana wengi wenye utitiri wa mafanikio ya gafla

unakuta kijana ana mwezi kazini kashaotesha mjengo mbweni masaiti hili liliwachanganya sana vijana na kujikuta wanatumbukia katika Tamaa na kutaka maisha ya haraka
Wala si awamu ni ulimbuken wawatu binafsi tu
 
Back
Top Bottom