Wadau inashangaza na inasikitisha kwa huyu maskini wa kitanzania kuendelea na maumivu makali ya maisha na hasa pale bei za chakula kukuu cha mtanzania kinapozidi kupanda bei siku hadi siku. Bei ya unga haishikiki, maharsge hayashikiki sisi wananchi wa hali ya kawaida tutakimbilia wapi na serikari yetu ndiyo hii. Ni kawaida kwa miaka ya 2005 kurudi nyuma bei za mazao haya zilikuwa zikishuka zenyewe wakati wavuno lakini sasa hivi haielleweki ni wakati upi ni mavuno na ni wakatai upi siyo wa mavuno. Ukweli tunaumia na hii inasabisaha taifa lenye njaa na hivyo watu hawawezi kufanya kazi kwa kiwango kianchotakiwa na kusabisha uzalishaji kupugua. taifa lenye watu wenye afya njema ndilo wakatai wote linaloendelea katika nyanja zote. Taifa na hasa JK na viongozi wake angalie namna ya kumkomboa Mtanzania. Jk ni msomi wa uchumi wa chuo kikuu cha kizalendo cha Manzese na washauri wake wa uchumi akae chini na kuangalia ni namna gani atalipatia ufumbuzi tatizo hili la kudorola kwa uchimi nchini.
Nchi yetu haina kundi la mafia ambao wanaweza kumiliki njia kuu za uchumi isipokuwa ni ulegevu wa viongozi wetu, kwani akina Mwl Nyerere hawapo tena akina Edward Moringe hawapo watetezi wa mtu wa chini.
Nchi yetu haina kundi la mafia ambao wanaweza kumiliki njia kuu za uchumi isipokuwa ni ulegevu wa viongozi wetu, kwani akina Mwl Nyerere hawapo tena akina Edward Moringe hawapo watetezi wa mtu wa chini.