- Thread starter
- #21
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Nchi hii tajiri kuliko Ulaya, Au nasema uongo ndugu zangu
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Nataka Tuzalishe Nguo Tuzivae Halafu Tukawauzie Nguo UlayaNchi hii tajiri kuliko Ulaya, Au nasema uongo ndugu zangu
Nataka Tuzalishe Nguo Tuzivae Halafu Tukawauzie Nguo Ulaya
kipindi cha jakaya kulikuwa na maduka ya nguo full AC na muuzaji hapo dukani kapendeza anatumia iphone,viwanja vikali una mkuta.
lakini duka wiki nzima hata mteja wa kununua nguo hayupo
Hapo kwenye pembe za ndovu ametupiga hapo sio bureHayo mengine labda hizo pembe za ndovu wanunuzi wakuu walikuwa kina nani na anachukua kwa Machinga Point A ili ayapeleke wapi
Umeona wapi nimemuonea wivu B ni rafiki yangu na kila hustle ananieleza na kwa sasa anaingia kwenye biashara halali
Mengi nilimuunga mkono ila Kwa hili hapana .Nilikua nakereka tu walivyokua wanapika na kula na kugeuza Guest Bubu! Nilishangaa sana Wana CCM kumpongeza John kwa uamuzi wa ajabu kiasi kile
NovelNaanza na kisa cha rafiki yangu anaitwa B .
B anazaliwa machame ni muhitimu wa chuo kikuu alisomea mitambo pale MUST.
B baada ya chuo alianza biashara ya kuuza bangi mjini mbeya baadae akanieleza amehamia DAR ameamua kujiongeza kutokana na ruhusa ya machinga kuruhusiwa popote.
Ndio mwamba aliendelea na biashara yake alichofanya alinunua friji tano na madeli matano ya kuzugia na aliajiri vijana watano wote akawakatia vitambulisho vya machinga wao wale vijana na B hukutana usiku kwenye center fulani kupanga mpango wa kesho.
Kwa ufupi ilikua sio machinga wala nini zilikua sehemu za kupokelea mizigo ya madawa ya kulevya na kuanza kusambaza maeneo mbalimbali, vibanda vilikua maeneo yafuatayo Kigamboni, Makumbusho, Manzese, Kimara Mwisho, Segerea sasa vijana wake wote walifahamiana na walifanya kwa weledi mkubwa iwe kupokea vipodozi sawa maana mzigo ukifika kwenye basi unapelekwa point nyingine chap huku akiufuatilia na boksa kwa nyuma.
Iwe kupokea pembe ilikuwa chap mzigo unafika unapokelewa chap unaenda alikojua yeye.
Iwe kupokea bangi ya musoma, Bukoba au tabora ndio mapigo yake hayo,
Iwe kupokea unga na kupeleka sehemu ya kufungia kipimo cha buku tatu tatu sawa tu kazi inafanyika.
Yes B ndani ya miaka 4 kapata pesa nyingi sana kwa kutumia kivuli cha machinga.
Kwa hiyo sio kila kibanda ilikuwa cha machinga, vingine ilikuwa kuzugia tu kupokelea mizigo ya pesa nyingi kwa hili naipongeza Serikali
Nitawaletea kisa kingine cha viabanda vya machinga siku nyingine.