UNDP: In the long run, COVID19 will have significant risks to sectors in Tanzania especially tourism

Kwahiyo? What a stupid statement “Buashee”
Huu ugonjwa upo kwa miaka mingi ijayo. cha muhimu ni kubadilisha life styles zetu. Tuanze kutumia vitamin C kwa wingi, mazoezi kwa wingi.

Kuwa na barakoa kadhaa kila unaposafiri, kukumbuka kununua vitakasa mikono. Corona ni ugonjwa ambao upo hivyo cha muhimu ni kutambua namna ya kuishi nao. AIDS ilianza hivi hivi miaka ya 1980 mwanzoni na watu wakapambana nayo mpaka ukawa ni ugonjwa uliozoeleka.
 
UNDP TANZANIA: In the long run, #COVID19 will have significant risks to sectors in #Tanzania such as tourism & hospitality, transportation & storage, wholesale & retail trade, construction & real estate, manufacturing industry.

More on: New Report released: Rapid Socio-Economic Impact Assessment of COVID-19 in Tanzania @ESRFTZ @UNDP https://t.co/r7yJulGkRt

View attachment 1469316

New Report released: Rapid Socio-Economic Impact Assessment of COVID-19 in Tanzania

Dar es Salaam - UNDP Tanzania in collaboration with the Economic and Social Research Foundation (ESRF) released a report on Socio-Economic Impact Assessment of COVID-19 on Tanzania.

"This pandemic has manifested itself to be more than a health crisis. Tackling COVID-19 is also a humanitarian and development crisis that is threatening to leave deep social, economic and political scars for years to come, particularly in countries already weighed down by fragility, poverty and conflict." - UNDP

What the report tells us

Both the report and the policy brief assess the possible risks and impact pathways of COVID-19 on the economy, public finance and budgeting, poverty and inequality and vulnerable groups in Tanzania. The analysis assumes three scenarios:

1. Best case scenario: where the current situation is maintained

2. Moderate scenario: where there is some modest escalation in infections and consequently in aversive reactions to the pandemic

3. Worst case scenario: the situation deteriorates further for an extended period of time

The assessment shows that, even under a 'limited or slow virus spread scenarios' there will still be severe shocks in the hospitality industry, exporters of manufactured and agricultural goods, transport and logistics, as well as the financial sector.

The priority of the Government and developemnt stakeholders must be to prevent contagion and support most vulnerable groups and firms in the most affected sectors and value chains. In the medium term, the aftermath of this crisis must be turned into an opportunity to put well-being at the centre, based on stronger social protection systems, better healthcare, more robust and inclusive public finances and implementing inclusive development strategies.

Commenting on the report, the UN Resident Coordinator, Zlatan Milisic said, "I commend UNDP Tanzania for taking a proactive step and for providing leadership in undertaking this Rapid Socio-Economic Impact Assessment which has resulted into this informative and insightful report." He further said, "It is my sincere hope the report will add value to the ongoing government efforts to curb the spread of the COVID-19 pandemic."

The Resident Coordinator has called upon the development partners in Tanzania to provide much needed support for immediate response to the pandemic and rally around efforts for early recovery. This is needed to mitigate the negative socio-economic impacts of the pandemic and to the extent possible, enable Tanzania to at least sustain the progress it had made in achieving SDGs.

Tremendous support was received during the drafting to the final stage of this report from Technical Experts of UN Agencies, development partners and the private sector. UNDP expresses its appreciation to experts from World Bank, UNICEF, Un Women, ILO, FAO, WFP and WHO.

Links to the report and policy brief:
New Report released: Rapid Socio-Economic Impact Assessment of COVID-19 in Tanzania

Main Report; https://www.tz.undp.org/content/dam/tanzania/docs/docs2020/undp-tz-SEA-Report Rapid-COVID19.pdf
Tumewazoea washasema mpaka Mei tugekuwa tumekufa 10,000 lakini tunadunda. Wapo wafanyakazi huko UNDP wanaandika ripoti ili kuwafurahisha wazungu ili walete pesa. Wapo wengi tu wanaopika data sisi wengine tumefanyakazi huko tunaujua mchezo.
 
Hivi wazungu wakiamka wanaifikiria Tanzanian! Tangia makinikia wanatuombea mabaya lakini sisi tunasonga mbele
 
Hivi wazungu wakiamka wanaifikiria Tanzanian! Tangia makinikia wanatuombea mabaya lakini sisi tunasonga mbele
Very strange. Utabiri wao ni fake. Wanatumia vigezo gani? Nchi gani ambayo sasa hivi haina risks za Corona? Utopolo
 
Siyo tu utalii!Kwa mfano, ina maana kuanzia September hadi December, sekta ya kilimo na misitu ambayo imeajiri watanzania 13,409,814 itakuwa kwenye high risk(long term), nadhani hii ni kwa namna ambavyo maambukizi yanazidi kuendelea. Hapo ina maana ni nguvu kazi ya wakulima ambao wanalisha Taifa! Kuna thread niliwahi kuanzisha kuhusu hili la kuwalinda wakulima ambao ndo roho ya Taifa.

Pumba tupu, nyinyi ndio mnasifia USA kwani Corona kwao imeisha? Mbona wanaandamana bila social distancing na lockdown mliyokuwa mnaisifia. Tanzania dawa ya Covid-19 imepatikana sasa iweje tuathiriki. Huo ndio tunaita wivu wa kike. Mmekuwa watumwa wa akili.
 
Ni sawa na kutangwa maji kwenye kinu unapoiambia serikali ya Tanzania mambo ya economic risk assesment na impact zake wana namna zao za kufanya mambo (be it impact inayoongelewa na UNDP kama vile exaggerated).

Anyway kikubwa kwetu kwenye kukabiliana na impact za kiuchumi kipindi hiki muhimu kujiaminisha vitu tu kutoka kichwani and everything will be OK.
 
Hivi wazungu wakiamka wanaifikiria Tanzanian! Tangia makinikia wanatuombea mabaya lakini sisi tunasonga mbele
Sio kweli, hata zamani haya yalikuwepo sema yalikuwa handled kitaaluma zaidi na serikali ilikuwa inawasikiliza wataalamu, siku hizi wanasiasa ndio wamekuwa wasemaji wa magojwa na jinsi ya kujikinga.
 
Soma kwanza mkuu ili ujadili context. Wewe unaparamia tu maskini. Siasa kila mahali. Halafu naona umefufuka karibia na uchaguzi. Ulikuwa unatafuna vitumbuwa tuu.
Tatizo ni hiyo kugha ya ”Kichaga” aliyo tumia mwandishi!
 
Siyo tu utalii!Kwa mfano, ina maana kuanzia September hadi December, sekta ya kilimo na misitu ambayo imeajiri watanzania 13,409,814 itakuwa kwenye high risk(long term), nadhani hii ni kwa namna ambavyo maambukizi yanazidi kuendelea. Hapo ina maana ni nguvu kazi ya wakulima ambao wanalisha Taifa! Kuna thread niliwahi kuanzisha kuhusu hili la kuwalinda wakulima ambao ndo roho ya Taifa.
Unakosea kidogo kwa kuandika as if maambukizi yanaendelea, wakati hii report one base kwenye , probability 3
1. Yakutokuwa na maaambukizi
2. Yakiwa na moderate maambukizi
3 yakiwa kuna ongezeko kubwa la maambukizi
 
Back
Top Bottom