Underground wa rap hawajaliwi

2game

Member
Jan 1, 2017
10
2
Wana jf niajeee hv naomba kuchukua muda wako kidogo kwann muziki wa hip hop haupewi kipaumbele bongo hasa kwa wasanii underground alafu unakuta ukiforce kupata airtime ya ngoma zako unakuta wanakushauri utoke kwenye uhalisia

Ni kwann hip hop haichukuliwi umakin km miziki mingine
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom