kila kozi ni ngumu na kila kozi ni raisi, inategemea na utayari wa msomajiwana jukwaa naombeni ushauri wenu katika hili.nina mdogo wangu amepata economics'C,geography'C na maths F,scstudies'E..anataka kuomba ( Busness Information System) UDOM.nahitaji kufahamu haswa inahusisha coz zipi na ugumu wake na urahisi wake