Tafadhalini wana jamvi wenzangu naomba msaada wenu kwa kunipa suggestion kwa ajili ya Topic kwa ajili ya thesis yangu! Kama nilivosema ni undergraduate thesis kwenye mambo ya IT especially Networking, Database au ERP systems. Aksanteni! Najua yafaa kukaa Jukwaa la Elimu lakini naomba ikae hapa kwa muda tafadhali!