Uncovered- The Mafisadi Maker aramba 17 billion nyingine!

Mnyoofu

Senior Member
Feb 24, 2008
153
49
Ndugu zangu

Moyo wangu unataka kupasuka kwa uchungu na machungu ya huyu wanayemsifikia kuwa ni Mtengenezaji wa Mafisadi (King Maker!)

Naomba wale Investigative Journalist na yeyote anayeweza kupekua tunataka kujua details maana issue ni ya ukweli. KWamba,Serikali yetu ilikopa mafuta toka Iran, na pesa zilikuwa zilipwe kutoka BOT kupitia ubalozi wa Iran hapa nchini.

Chakushangaza Rostam Aziz alikwenda kuchukua hizo pesa ati anakwenda kulipa deni hilo huko Iran, a total of USD 15 million. Lakini mpaka leo hii pesa hizo hazijafika.

Tunachopenda kujua ni kampuni gani aliitumia kuchukulia pesa hizo pale BOT, ninaambiwa na chanzo changu cha kuaminika kuwa ubalozi wa Iran unazo taarifa zote na wameconfirm, ila watu wetu wa sirikali wanaficha.

Hebu WanaJF tuzitafute taarifa hizi ili pesa zirudi. As we speak, RA yuko nje ya Nchi! Hii inashangaza sana, maana tuliambiwa amenyang'anywa passport kumbe ni rongorongo!

Tena fununu zinasema RA amenunua a very expensive amoured sports car ili kujilinda coz anawasiwasi wanusalama watammaliza bila consent ya wakubwa hivyo ameamua kujilinda na hii bullet proof sports car inayoweza kusafiri kwa kilometa 400 kwa saa! Maajabu ni kwamba hata TISS wahajui, hivi tunakwenda wapi??

Jamani moshi umefuka hebu tutafute moto uko wapi, nimelisema hili coz kuna mbinu kubwa za kulifunika! Hizo ni zaidi ya Tshs Bilion 17!Huu ni wizi wa wazi!
 
Ndugu zangu

Moyo wangu unataka kupasuka kwa uchungu na machungu ya huyu wanayemsifikia kuwa ni Mtengenezaji wa Mafisadi (King Maker!)

Naomba wale Investigative Journalist na yeyote anayeweza kupekua tunataka kujua details maana issue ni ya ukweli. KWamba,Serikali yetu ilikopa mafuta toka Iran, na pesa zilikuwa zilipwe kutoka BOT kupitia ubalozi wa Iran hapa nchini.

Chakushangaza Rostam Aziz alikwenda kuchukua hizo pesa ati anakwenda kulipa deni hilo huko Iran, a total of USD 15 million. Lakini mpaka leo hii pesa hizo hazijafika.

Tunachopenda kujua ni kampuni gani aliitumia kuchukulia pesa hizo pale BOT, ninaambiwa na chanzo changu cha kuaminika kuwa ubalozi wa Iran unazo taarifa zote na wameconfirm, ila watu wetu wa sirikali wanaficha.

Hebu WanaJF tuzitafute taarifa hizi ili pesa zirudi. As we speak, RA yuko nje ya Nchi! Hii inashangaza sana, maana tuliambiwa amenyang'anywa passport kumbe ni rongorongo!

Tena fununu zinasema RA amenunua a very expensive amoured sports car ili kujilinda coz anawasiwasi wanusalama watammaliza bila consent ya wakubwa hivyo ameamua kujilinda na hii bullet proof sports car inayoweza kusafiri kwa kilometa 400 kwa saa! Maajabu ni kwamba hata TISS wahajui, hivi tunakwenda wapi??

Jamani moshi umefuka hebu tutafute moto uko wapi, nimelisema hili coz kuna mbinu kubwa za kulifunika! Hizo ni zaidi ya Tshs Bilion 17!Huu ni wizi wa wazi!

Hivi ile kesi aliyosema Kikwete kuwa amefungua kwa kukashifiwa kuwa amepewa fedha za uchaguzi kutoka Iran imeishia wapi? Labda pengine ndio RA alikuwa anarudisha hizo fedha kama ni kweli amechukua.

Ni kweli Kikwete alipewa fedha na Iran? Kama ni kweli, mbona sera zake sio LOOK EAST. He is LIVING WEST, TENA USA

Asha
 
Hayo ndiyo matunda ya kukumbatia wenye nazo kunakofanywa na hiki chama chenye kujisifu sifu.Haiwezekani hawa wenye fedha wakawa wanatoa mabilioni wakati wa kampeni kwa ajili ya kupata ushindi wa kishindo halafu asipate namna ya kurudisha hela yake.atakuwa mwehu basi akitoa tu na kuacha labda kama ana kiwanda cha pesa.
Si hilo tu,mimi nina habari za uhakika kwamba huyo RA amefanyiwa mpango wa kuagiza mafuta kwa niaba ya TPDC kana kwamba huko nyuma TPDC hawakuwa na uwezo wa kujiagizia wenyewe mafuta.sijui atakuwa najipigia dili gani MUNGU anajua.Ndugu zangu hii nchi inaliwa sana kwa sisi tuliofanya serikalini miaka tumeona mikataba mingi sana achilia mbali na hii inayopigiwa kelele kila leo.kuhabarishana kama hivi ni kuzuri kwa ajili ya kupeana habari lakini tunahitaji kwenda one step further.BILA KUCHAPANA VIBOKO HATUTAFIKA POPOTE MAO TSETUNG ALIONYESHA MFANO CHINA NA WATU WAMENYOOKA EVER SINCE
 
Ndugu zangu

Moyo wangu unataka kupasuka kwa uchungu na machungu ya huyu wanayemsifikia kuwa ni Mtengenezaji wa Mafisadi (King Maker!)

Naomba wale Investigative Journalist na yeyote anayeweza kupekua tunataka kujua details maana issue ni ya ukweli. KWamba,Serikali yetu ilikopa mafuta toka Iran, na pesa zilikuwa zilipwe kutoka BOT kupitia ubalozi wa Iran hapa nchini.

Chakushangaza Rostam Aziz alikwenda kuchukua hizo pesa ati anakwenda kulipa deni hilo huko Iran, a total of USD 15 million. Lakini mpaka leo hii pesa hizo hazijafika.

Tunachopenda kujua ni kampuni gani aliitumia kuchukulia pesa hizo pale BOT, ninaambiwa na chanzo changu cha kuaminika kuwa ubalozi wa Iran unazo taarifa zote na wameconfirm, ila watu wetu wa sirikali wanaficha.

Hebu WanaJF tuzitafute taarifa hizi ili pesa zirudi. As we speak, RA yuko nje ya Nchi! Hii inashangaza sana, maana tuliambiwa amenyang'anywa passport kumbe ni rongorongo!

Tena fununu zinasema RA amenunua a very expensive amoured sports car ili kujilinda coz anawasiwasi wanusalama watammaliza bila consent ya wakubwa hivyo ameamua kujilinda na hii bullet proof sports car inayoweza kusafiri kwa kilometa 400 kwa saa! Maajabu ni kwamba hata TISS wahajui, hivi tunakwenda wapi??

Jamani moshi umefuka hebu tutafute moto uko wapi, nimelisema hili coz kuna mbinu kubwa za kulifunika! Hizo ni zaidi ya Tshs Bilion 17!Huu ni wizi wa wazi!

source pls...
 
Ndugu zangu

Moyo wangu unataka kupasuka kwa uchungu na machungu ya huyu wanayemsifikia kuwa ni Mtengenezaji wa Mafisadi (King Maker!)

Naomba wale Investigative Journalist na yeyote anayeweza kupekua tunataka kujua details maana issue ni ya ukweli. KWamba,Serikali yetu ilikopa mafuta toka Iran, na pesa zilikuwa zilipwe kutoka BOT kupitia ubalozi wa Iran hapa nchini.

Chakushangaza Rostam Aziz alikwenda kuchukua hizo pesa ati anakwenda kulipa deni hilo huko Iran, a total of USD 15 million. Lakini mpaka leo hii pesa hizo hazijafika.

Tunachopenda kujua ni kampuni gani aliitumia kuchukulia pesa hizo pale BOT, ninaambiwa na chanzo changu cha kuaminika kuwa ubalozi wa Iran unazo taarifa zote na wameconfirm, ila watu wetu wa sirikali wanaficha.

Hebu WanaJF tuzitafute taarifa hizi ili pesa zirudi. As we speak, RA yuko nje ya Nchi! Hii inashangaza sana, maana tuliambiwa amenyang'anywa passport kumbe ni rongorongo!

Tena fununu zinasema RA amenunua a very expensive amoured sports car ili kujilinda coz anawasiwasi wanusalama watammaliza bila consent ya wakubwa hivyo ameamua kujilinda na hii bullet proof sports car inayoweza kusafiri kwa kilometa 400 kwa saa! Maajabu ni kwamba hata TISS wahajui, hivi tunakwenda wapi??

Jamani moshi umefuka hebu tutafute moto uko wapi, nimelisema hili coz kuna mbinu kubwa za kulifunika! Hizo ni zaidi ya Tshs Bilion 17!Huu ni wizi wa wazi!

Hard to believe;

BP sports car and not an SUV?? 400km/h?? On which roads in TZ?

Source please
 
Ndugu zangu

Moyo wangu unataka kupasuka kwa uchungu na machungu ya huyu wanayemsifikia kuwa ni Mtengenezaji wa Mafisadi (King Maker!)

Naomba wale Investigative Journalist na yeyote anayeweza kupekua tunataka kujua details maana issue ni ya ukweli. KWamba,Serikali yetu ilikopa mafuta toka Iran, na pesa zilikuwa zilipwe kutoka BOT kupitia ubalozi wa Iran hapa nchini.

Chakushangaza Rostam Aziz alikwenda kuchukua hizo pesa ati anakwenda kulipa deni hilo huko Iran, a total of USD 15 million. Lakini mpaka leo hii pesa hizo hazijafika.

Tunachopenda kujua ni kampuni gani aliitumia kuchukulia pesa hizo pale BOT, ninaambiwa na chanzo changu cha kuaminika kuwa ubalozi wa Iran unazo taarifa zote na wameconfirm, ila watu wetu wa sirikali wanaficha.

Hebu WanaJF tuzitafute taarifa hizi ili pesa zirudi. As we speak, RA yuko nje ya Nchi! Hii inashangaza sana, maana tuliambiwa amenyang'anywa passport kumbe ni rongorongo!

Tena fununu zinasema RA amenunua a very expensive amoured sports car ili kujilinda coz anawasiwasi wanusalama watammaliza bila consent ya wakubwa hivyo ameamua kujilinda na hii bullet proof sports car inayoweza kusafiri kwa kilometa 400 kwa saa! Maajabu ni kwamba hata TISS wahajui, hivi tunakwenda wapi??

Jamani moshi umefuka hebu tutafute moto uko wapi, nimelisema hili coz kuna mbinu kubwa za kulifunika! Hizo ni zaidi ya Tshs Bilion 17!Huu ni wizi wa wazi!

Hizi habari kama zile za kuungua brella. Njoo na vitu vya uhakika kama wanavyokuja navyo wenzako, wewe habari haina kichwa wala miguu, nikuiteje? "rumour monger".
 
Hard to believe;

BP sports car and not an SUV?? 400km/h?? On which roads in TZ?

Source please

Nami nilitaka kuuliza kwa speed hizo atakuwa anakimbilia barabara ipi .Hivi kama ni kweli hil gari liko Tanzania tayari ama limesha agizwa ndiyo linakuja?Mleta habari tuletee kwa ukamilifu .Source mimi najua ni mleta habari maana habari kama hizi Masatu ukitaka source ni kumshika nyoka unatafuta miguu lazima akumalize .

Pesa RA kukimbia nazo si mara ya kwanza .Amewahi kukimbia na zie TISS na hata Mkuu fulani Jeshini naye alichota .Mama fulani Mbunge naye alichota kwa jina la kuvamiwa pesa toka kwa Jeetu akizipeleka Dodoma .CCM hizi ndiyo zao .
 
Hivi hawa watu vipi jamani? hii ni kweli?
How RA anapewa pesa kwenda kulipa deni la serikali jamani? Mbona mambo haya ni ya ajabu, kama nalo hili ni kweli basi tena
Na iweje watu kama hawa wanasafiri kutoka nje ya nchi wakati ni watuhumiwa wakubwa kabisa jamani,
Hivi wewe Pumbavu mwema (nina hasira mnisamehe jamani) unafanya kazi gani hapo????????

Kama ili nikweli nalo, basi sisi tumeisha kabisaa, tutakaa kusifika kwa amani na uchafu wa majiji yetu milele na milele

This same guy was muweka hazina wa sisiemu...labda alienda kulipa deni la serikali kwa niaba ya Chama!!!
I didn't know that my heart could beat this fast..... nakosa hewa..naskia kizunguzungu na kichefux2!!!!!!
 
Nami nilitaka kuuliza kwa speed hizo atakuwa anakimbilia barabara ipi .Hivi kama ni kweli hil gari liko Tanzania tayari ama limesha agizwa ndiyo linakuja?Mleta habari tuletee kwa ukamilifu .Source mimi najua ni mleta habari maana habari kama hizi Masatu ukitaka source ni kumshika nyoka unatafuta miguu lazima akumalize .

Pesa RA kukimbia nazo si mara ya kwanza .Amewahi kukimbia na zie TISS na hata Mkuu fulani Jeshini naye alichota .Mama fulani Mbunge naye alichota kwa jina la kuvamiwa pesa toka kwa Jeetu akizipeleka Dodoma .CCM hizi ndiyo zao .

Timbilitimbwili
Hapa ubaoni,kawaida ni kwamba ukija na taarifa za kufichaficha majina ya watu,haina maana. we wataje hapa tujue nini kinaendelea,maana hii nchi imekwisha kabisa na mapambano ya hapa ni kuwataja wazi wazi hili ujumbe uwafikie.
Haya ya Rozitam yako wazi tu,ni mwizi na fisadi mkubwa. Tunahitaji ushahidi wa pesa zetu huko ubalozi wa iran,wabongo mnaonyuka mzigo huko Iran tuleteeni news kamili
 
Hard to believe;

BP sports car and not an SUV?? 400km/h?? On which roads in TZ?

Source please

That is the right thinking ambayo wengi wetu tunajiuliza what the heck kuwa na gari yenye speed za namna hiyo? wengine wanasema hata kama kutawekwa vizuizi barabarani (road block), gari hii inaweza kupangua hizo road blocks, hence the reasoning behind the demand of such unreasonable speed on the Tanzanian roads, na hata kama askari wa vizuizi hivyo wata spray bullets then it will be useless coz its amoured.

Ndio maana tunawauliza TISS, mawazo haya ya kujilinda kwa namna hii hayatishii usalama wa taifa kama thinking ya kuwa na gari la aina hii ndio ilivyo? Gari hiyo imefungiwa kwenye nyumba yake moja wapo waende wakaibebe mpaka atoe maelezo ya kuridhisha....!

Na kwataarifa yenu huyu jamaa kabla ya kuondoka alikuwa anatumia magari zaidi ya matano kwa siku, ati kwa sababu ya usalama wake!
 
That is the right thinking ambayo wengi wetu tunajiuliza what the heck kuwa na gari yenye speed za namna hiyo? wengine wanasema hata kama kutawekwa vizuizi barabarani (road block), gari hii inaweza kupangua hizo road blocks, hence the reasoning behind the demand of such unreasonable speed on the Tanzanian roads, na hata kama askari wa vizuizi hivyo wata spray bullets then it will be useless coz its amoured.

Ndio maana tunawauliza TISS, mawazo haya ya kujilinda kwa namna hii hayatishii usalama wa taifa kama thinking ya kuwa na gari la aina hii ndio ilivyo? Gari hiyo imefungiwa kwenye nyumba yake moja wapo waende wakaibebe mpaka atoe maelezo ya kuridhisha....!

Na kwataarifa yenu huyu jamaa kabla ya kuondoka alikuwa anatumia magari zaidi ya matano kwa siku, ati kwa sababu ya usalama wake!

Kutoka kwenye kitabu cha namba za simu za Wabunge. Namba ya Rostam Aziz ni 0754555555; hebu mpigieni muulizeni kuhusu uzushi wa mnyoofu. Kwani siku yuko hapa hapa Tanzania?

Asha
 
Kutoka kwenye kitabu cha namba za simu za Wabunge. Namba ya Rostam Aziz ni 0754555555; hebu mpigieni muulizeni kuhusu uzushi wa mnyoofu. Kwani siku yuko hapa hapa Tanzania?

Asha

Asha

Kwataarifa yako RA amebadili namba ya simu zake(sio siri) na hayupo nchini...aise mie sio shabiki wa mambo hewa, ifanyie kazi hoja hii, you will be my hero if you facilitate the sum to be paid back to BOT!
 
Lets be serious for once. This is garbage and waste of time. Any payment to a foreign company or country is made through Banking system wiring of funds and for such big amount.

Usituletee ujinga hapa na kutona wote mazobwe eti pesa walikuwa walipwe ubalozi wa Iran Dar! Which account in what bank in Tanzania an embassy will hold US $15 mil? Why not BOT transfer funds from our accounts with FRB in NY to BOI accounts?

Damn it you spoiled brats! No one is a kid but you chei chei shangazi!
 
Lets be serious for once. This is garbage and waste of time. Any payment to a foreign company or country is made through Banking system wiring of funds and for such big amount.

Usituletee ujinga hapa na kutona wote mazobwe eti pesa walikuwa walipwe ubalozi wa Iran Dar! Which account in what bank in Tanzania an embassy will hold US $15 mil? Why not BOT transfer funds from our accounts with FRB in NY to BOI accounts?

Damn it you spoiled brats! No one is a kid but you chei chei shangazi!


reverend, don't count that possibility outright.. Kama kuna vitu ambavyo naamini nimejifunza kwa siku hizi chache ni kuwa katika tanzania "yote yawezekana". Kama waliweza kuchota bilioni 133 mbele ya macho ya Benki Kuu... naamini wanaweza kuchota "tu" milioni 15 kiurahisi kama kumchomolea mlevi!

Anyway, I'm cautiously dismisive..
 
reverend, don't count that possibility outright.. Kama kuna vitu ambavyo naamini nimejifunza kwa siku hizi chache ni kuwa katika tanzania "yote yawezekana". Kama waliweza kuchota bilioni 133 mbele ya macho ya Benki Kuu... naamini wanaweza kuchota "tu" milioni 15 kiurahisi kama kumchomolea mlevi!

Anyway, I'm cautiously dismisive..

The only possibility is if the payment was fake and even the oil deal itself is kusadikika!
 
Ukweli unabaki kuwa ROSTAM AZIZ atakuja kuwa mithili ya kirusi cha ukimwi ambacho once kikiingia mwilini ndio hivyo tena.I just cant imagine Muiran mwenye asili ya Tanzania iipelekeshe Tehran namna hiyo kama hajauawa kwa risasi.Tumezembea mno hadi kuna siku litatokea gaidi kama Osama na kuingia Ikulu.Huyu fisadi anaendesha nchi kwa remote control
 
109734zxziq4.jpg


A displaced woman lies on the ground yesterday as she feeds her baby in a tent donated by Dar es Salaam Regional Commissioner Abbas Kandoro. She is from one of an estimated 500 families displaced when 96 houses were demolished at Tabata Mandela.


Kweli Watanzania tuna kazi kubwa.
 
Ndugu zangu

Moyo wangu unataka kupasuka kwa uchungu na machungu ya huyu wanayemsifikia kuwa ni Mtengenezaji wa Mafisadi (King Maker!)

Naomba wale Investigative Journalist na yeyote anayeweza kupekua tunataka kujua details maana issue ni ya ukweli. KWamba,Serikali yetu ilikopa mafuta toka Iran, na pesa zilikuwa zilipwe kutoka BOT kupitia ubalozi wa Iran hapa nchini.

Chakushangaza Rostam Aziz alikwenda kuchukua hizo pesa ati anakwenda kulipa deni hilo huko Iran, a total of USD 15 million. Lakini mpaka leo hii pesa hizo hazijafika.

Tunachopenda kujua ni kampuni gani aliitumia kuchukulia pesa hizo pale BOT, ninaambiwa na chanzo changu cha kuaminika kuwa ubalozi wa Iran unazo taarifa zote na wameconfirm, ila watu wetu wa sirikali wanaficha.

Hebu WanaJF tuzitafute taarifa hizi ili pesa zirudi. As we speak, RA yuko nje ya Nchi! Hii inashangaza sana, maana tuliambiwa amenyang'anywa passport kumbe ni rongorongo!

Tena fununu zinasema RA amenunua a very expensive amoured sports car ili kujilinda coz anawasiwasi wanusalama watammaliza bila consent ya wakubwa hivyo ameamua kujilinda na hii bullet proof sports car inayoweza kusafiri kwa kilometa 400 kwa saa! Maajabu ni kwamba hata TISS wahajui, hivi tunakwenda wapi??

Jamani moshi umefuka hebu tutafute moto uko wapi, nimelisema hili coz kuna mbinu kubwa za kulifunika! Hizo ni zaidi ya Tshs Bilion 17!Huu ni wizi wa wazi!




kwanza nakushukuru kwa kutuletea hii

lakini hilo la kusema Invetigative journalist AFANYE UCHUNGUZO LISAHAU

Waandishi wenyewe tulionao ni dizaini za akina SAIDI KUBENEA sasa bado unataka waende kuivestigate nini

Tatizo la JF ni kuwa watu hawana credible sources of info na mimi nishakuwa victim wa hili

kilichobaki tunaendelea kujadili speculations

ROSTAM kuwa na bullet prrof car sidhani kama ni dhambi na wala sidhani kama nahitaji kuwa na kibali toka kwa yoyote yule. Najua jamaa wameingiza ma BMW kibao Dar ambayo nayo ni bullet proof.

Kwa jinsi huyo RA alivyonapesa i am 100% sure kuwa hawezi kubania hizo £15 million

njoo na angle nyingine lakini hii bado haijakaa sawa

hebu tuambie irregularities ziko wapi au zimefanyika wapi then sistajua namna ya kwenda from there

 




kwanza nakushukuru kwa kutuletea hii

lakini hilo la kusema Invetigative journalist AFANYE UCHUNGUZO LISAHAU

Waandishi wenyewe tulionao ni dizaini za akina SAIDI KUBENEA sasa bado unataka waende kuivestigate nini

Tatizo la JF ni kuwa watu hawana credible sources of info na mimi nishakuwa victim wa hili

kilichobaki tunaendelea kujadili speculations

ROSTAM kuwa na bullet prrof car sidhani kama ni dhambi na wala sidhani kama nahitaji kuwa na kibali toka kwa yoyote yule. Najua jamaa wameingiza ma BMW kibao Dar ambayo nayo ni bullet proof.

Kwa jinsi huyo RA alivyonapesa i am 100% sure kuwa hawezi kubania hizo £15 million

njoo na angle nyingine lakini hii bado haijakaa sawa

hebu tuambie irregularities ziko wapi au zimefanyika wapi then sistajua namna ya kwenda from there


Sio dhambi kuwa tajiri kwa njia halali. Je RA amepata hizo pesa kihalali? Hilo ndio swala.
 
the only road worthy vehicle that goes at that speed is the bugatti veyron.. sijui kama rostam anahilo gari.. it costs 1.5 million dollars. its owned by a few car crazy millionaires... LABDA, i knw pesa anazo... lakini hamnaga transactions kama hizo za yeye kubeba hela za oil... sijui lakini
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom