Uncontroled Unemployment, Tatizo la ajira lisilo dhibitika

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,486
8,706
Tatizo la ajira huwa ni sawa na kitu kinaitwa Inflations, mfumuko wa bei huwa kuna wakayi unafika ni kwamba huwezu kuu controo tena yasni ni haiwezi kudhibitiwa.

Nchi kama Zimbabwe au Venezuela au Uganda kipindi fulani walifikia huko.

Tatizo la ajira ni kama lina puuzwa sana wazazi wako bise kuomba maji na baraba na madaraja ila wanasahau kuishinikiza Serikali kuhusu ajira.

Nchi kama Nigeria au South Africa wana tatizo la ajira ambalo lisha pitiliza na hawawezi lidhibiti tena hata wafanyeje.

Kenya nao ni kama tatizo lao la ajira lisha vuka mipk sasa hawawezi lidhibiti.

Tanzania tunaelekea huko na ndo tunafika yaani kama umelela ndo alfajiri saa 10 kuna karibia kukucha.

Mamlaka zinacheza sana na Tatizo la ajira na linaelekea kuwa nje ya kudhibitiwa, Wahitumu wamejaaa mtaani na hakutakuwa na namna ya kuwa accomodate tena.

Njia za kuweza kuwasaidia zinazidi kuwa nyembamba sana, wangeamua kujiajiri ila kwa mazingira yapi?

Mamlaka zitakuja kubeba lawama sana na hata watawala wajao watakuja kuwa na wakati mgumu sana ndo kinacho tokea Nigeria, South Africa, Kenya na kadhalika.
 
Tumeongelea unemployment extensively here in JF,it needs to be tackled from different angles/approaches.......i agree na mtoa mada technical education is the key, alternatively mgawanyo wa masaa ya kazi could also attenuate unemployment crisis kwa mfano masaa yangegawanywa kwa wanaotoka chuo,18-27, 28-39, 40-60, and 60+ nishawahi kuileta topic kama hii...mkanisusia
 
Mimi nichangie tofauti kidogo kuhusu hili swala la ajira.
Kutatua hili swala la ajira watu wanalitazama kwa upande mmoja tu yaani wanaiachia serikali peke yake.
Hii sio sahihi kabisa,suala la ajira ni pana sana na jamii yote inahusika kwa ujumla kukabiliana nalo.
Nikisema hivyo namaanisha hivi kwa sasa tuna vyuo vikuu vingi sana huwezi kufananisha na miaka ya 90 ambapo vyuo vilikuwa 3 tu.

Sasa kwa huu mfumuko wa vyuo vikuu vilivyopo sasa hivi kila mwaka vinatema wahitimu takribani elfu 50 kila mwaka.

Hakuna njia serikali itafanya na kuwamaliza wote hao ni ngumu lazima wengine watakosa tu.
Kwa hiyo cha kwanza kabla ya yote ni vijana pamoja na wazazi kubadili mtazamo,tusiwe na mentality kwamba tukisoma basi lazima wote tuajiriwe au tuajiriwe na serikali.

Bali tuongeze ubunifu zaidi tutumie elimu zetu kufikiria nje ya box iwe kwa kuajiriwa iwe kwa kujiajiri badala ya kukaa na kutupia lawama upande fulani.

Kuna mchangiaji mmoja humu ameshauri tuwashauri vijana wasomee elimu za ufundi zaidi hili nalikubali kwa asilimia fulani lakini tatizo hata hao waliomaliza wako nyumbani tu wanasubiria ajira za serikali ambazo kwa mwaka zinatangazwa mara moja au mara 2 tu na ukikosa mwaka huu ukae kusubiria hadi mwakani tena huku umekaa tu nyumbani badala ya kutafuta alternative ya kufanya.

Kwa hiyo utakuja kugundua kwamba kikwazo kikubwa ni mentality zetu tukishabadilisha mentality zetu hata mtu aliyesoma sociology hatokosa kitu cha kufanya.

Kuna mdau mmoja alitolea mfano wa nchi zenye tatizo la ajira mimi nitaziongelea nchi za Kenya na Nigeria ambazo zina tatizo la ajira miaka mingi sana tangu miaka ya 90 huko.

Lakini still watu wanajiongeza na wanatusua hivyo hivyo jiulize wanafanyaje ili kutusua.
Niwape mfano mwingine hao Wanigeria na Wakenya wengine wanakuja huku kwetu wanapiga projects za hela ndefu wanatusua kupitia fani zao mbalimbali kama IT,Engineering,Teaching,na fani zinginezo.
Hujawahi kuona Wakenya au Wanigeria huku kwetu wakija wanaanzisha tuition centre tu za kufundisha watoto na wanapiga mahela wakati wewe uliyesoma education umekaa nyumbani unangojea post ya serikali kwa miaka 4.

Haya ukija viwandani kuna wakenya wanakuja kufanya services mbalimbali na huku engineers wapo wamekaa nyumbani kuilaumu serikali.

Kiufupi hili swala linahitaji mkakati wa hali ya juu sana kuweza kulifanikisha.
 
Mimi nichangie tofauti kidogo kuhusu hili swala la ajira.
Kutatua hili swala la ajira watu wanalitazama kwa upande mmoja tu yaani wanaiachia serikali peke yake.
Hii sio sahihi kabisa,suala la ajira ni pana sana na jamii yote inahusika kwa ujumla kukabiliana nalo.
Nikisema hivyo namaanisha hivi kwa sasa tuna vyuo vikuu vingi sana huwezi kufananisha na miaka ya 90 ambapo vyuo vilikuwa 3 tu.
Sasa kwa huu mfumuko wa vyuo vikuu vilivyopo sasa hivi kila mwaka vinatema wahitimu takribani elfu 50 kila mwaka.
Hakuna njia serikali itafanya na kuwamaliza wote hao ni ngumu lazima wengine watakosa tu.
Kwa hiyo cha kwanza kabla ya yote ni vijana pamoja na wazazi kubadili mtazamo,tusiwe na mentality kwamba tukisoma basi lazima wote tuajiriwe au tuajiriwe na serikali.
Bali tuongeze ubunifu zaidi tutumie elimu zetu kufikiria nje ya box iwe kwa kuajiriwa iwe kwa kujiajiri badala ya kukaa na kutupia lawama upande fulani.
Kuna mchangiaji mmoja humu ameshauri tuwashauri vijana wasomee elimu za ufundi zaidi hili nalikubali kwa asilimia fulani lakini tatizo hata hao waliomaliza wako nyumbani tu wanasubiria ajira za serikali ambazo kwa mwaka zinatangazwa mara moja au mara 2 tu na ukikosa mwaka huu ukae kusubiria hadi mwakani tena huku umekaa tu nyumbani badala ya kutafuta alternative ya kufanya.
Kwa hiyo utakuja kugundua kwamba kikwazo kikubwa ni mentality zetu tukishabadilisha mentality zetu hata mtu aliyesoma sociology hatokosa kitu cha kufanya.
Kuna mdau mmoja alitolea mfano wa nchi zenye tatizo la ajira mimi nitaziongelea nchi za Kenya na Nigeria ambazo zina tatizo la ajira miaka mingi sana tangu miaka ya 90 huko.
Lakini still watu wanajiongeza na wanatusua hivyo hivyo jiulize wanafanyaje ili kutusua.
Niwape mfano mwingine hao Wanigeria na Wakenya wengine wanakuja huku kwetu wanapiga projects za hela ndefu wanatusua kupitia fani zao mbalimbali kama IT,Engineering,Teaching,na fani zinginezo.
Hujawahi kuona Wakenya au Wanigeria huku kwetu wakija wanaanzisha tuition centre tu za kufundisha watoto na wanapiga mahela wakati wewe uliyesoma education umekaa nyumbani unangojea post ya serikali kwa miaka 4.
Haya ukija viwandani kuna wakenya wanakuja kufanya services mbalimbali na huku engineers wapo wamekaa nyumbani kuilaumu serikali.
Kiufupi hili swala linahitaji mkakati wa hali ya juu sana kuweza kulifanikisha.
Umeongea maelezo mengi kinadharia, hapo kwa kwa ndugu yangu aliesema watu wamome mambo ya ufundi nakubaliana nae, lkn lazima ujiulize hao wanaokuja wanatusua huku unafikiri kwa nini wanatusua?. Issue nikuwa Serikali yetu haijaweka mazingira wezeshi kwa wazawa. Nchi kama ghana wafanya biashara wadogo kama machinga hawalipi kodi,hata watu wenye mitaji chini ya mil 15 hawalipi kodi, vipi hapa bongo?.

Issue nikuwa Serikali inachangia pakubwa sana, unajiujiuliza hivi walimu wanatosha mashukeni?. Madactar wanamtosha mahospitalini?. Wauguzi, wahandisi vipi ?. Mwisho wasiku lazima Serikali ndio ilaumiwe. Mfano Serikali iliua FastJet kisa ndege ATCL kwa nini isingeacha wakawa washindani ajira zikapatikana ATCL na FASTJET. Serikali inataka iingie kwenye biashara ya mafuta, lkn haitak ushindani, tender za Serikali inavipa vitengo vingine vya Serikali na wanafanya kazi kwa zero profit, kwa nn makampuni mengi yasife au kuounguza wafanyakazi?.
 
Umeongea maelezo mengi kinadharia, hapo kwa kwa ndugu yangu aliesema watu wamome mambo ya ufundi nakubaliana nae, lkn lazima ujiulize hao wanaokuja wanatusua huku unafikiri kwa nini wanatusua?. Issue nikuwa Serikali yetu haijaweka mazingira wezeshi kwa wazawa. Nchi kama ghana wafanya biashara wadogo kama machinga hawalipi kodi,hata watu wenye mitaji chini ya mil 15 hawalipi kodi, vipi hapa bongo?.

Issue nikuwa Serikali inachangia pakubwa sana, unajiujiuliza hivi walimu wanatosha mashukeni?. Madactar wanamtosha mahospitalini?. Wauguzi, wahandisi vipi ?. Mwisho wasiku lazima Serikali ndio ilaumiwe. Mfano Serikali iliua FastJet kisa ndege ATCL kwa nini isingeacha wakawa washindani ajira zikapatikana ATCL na FASTJET. Serikali inataka iingie kwenye biashara ya mafuta, lkn haitak ushindani, tender za Serikali inavipa vitengo vingine vya Serikali na wanafanya kazi kwa zero profit, kwa nn makampuni mengi yasife au kuounguza wafanyakazi?.
Umesema watu wasomee elimu za ufundi ni sawa sikubishii ila swali langu ni je hao ambao tayari wameshasomea ufundi wamefanya nini cha maana?wote tukisomea elimu ya ufundi wahasibu na madaktari tutawapata wapi?

Kitu kingine ukasema kwamba wageni wakija huku wanatusua na sisi tunakwama kutokana na sera zetu mbovu je baada ya kugundua kuwa sera zetu mbovu ulichukua hatua gani?Ukataja kuwa kuna baadhi ya nchi za wenzetu sera zao ni nzuri zinazowawezesha kufanikiwa kwa haraka ni kwa nini usiende kwenye hizo nchi zenye sera nzuri ili ufanikishe kupata pesa kama hao wenzetu wanavyokuja nchini kwetu?

Maana mwisho wa siku maisha lazima yaendelee kuwa na sera mbovu kwa nchi sio mwisho wa maisha unatakiwa wewe kama msomi ufikirie nje ya box kutatua hicho kitendawili badala ya kulialia na kuwapa watu lawama.
 
umesema watu wasomee elimu za ufundi ni sawa sikubishii ila swali langu ni je hao ambao tayari wameshasomea ufundi wamefanya nini cha maana?wote tukisomea elimu ya ufundi wahasibu na madaktari tutawapata wapi?
Kitu kingine ukasema kwamba wageni wakija huku wanatusua na sisi tunakwama kutokana na sera zetu mbovu je baada ya kugundua kuwa sera zetu mbovu ulichukua hatua gani?Ukataja kuwa kuna baadhi ya nchi za wenzetu sera zao ni nzuri zinazowawezesha kufanikiwa kwa haraka ni kwa nini usiende kwenye hizo nchi zenye sera nzuri ili ufanikishe kupata pesa kama hao wenzetu wanavyokuja nchini kwetu?
Maana mwisho wa siku maisha lazima yaendelee kuwa na sera mbovu kwa nchi sio mwisho wa maisha unatakiwa wewe kama msomi ufikirie nje ya box kutatua hicho kitendawili badala ya kulialia na kuwapa watu lawama.
Naona umekuja kuniatack directly mimi badala yakuatack mada, wapi umesikia mimi nataka niajiriwe, mimi nafaham mazingira ya Tz vizuri ndio maana ingawa nilimalimaliza chuo lkn nimemaliza chuo miaka 4, nimeajiri vijana 3. Kwahio nazungumzia mfumo wakisera wa nchi ulivyo mbovu,mimi naweza kwenda nje, vipi wengine?. Kuhusu madaktar,walimu nimeadika rudia kusoma mchango wangu juu uelewe, madaktari Serikali haiajir sio kwamba niwengi,kama wengekuwa wengi inamaana kila hospital ingekuwa na MD, au ratio ya wagonjwa 10/16 perday kwakila daktari mmoja. Serikali inasera mbovu kuanzia kwenye elimu mpaka kwenye afya na ajira.
 
Kama unasema wewe umejiajiri na kuajiri vijana 3 ulitumia njia gani ukaweza kujiajiri?
Sasa inatakiwa hizo mbinu ulizotumia mpaka ukaweza kujiajiri ndio uwafundishe vijana na sio kuwafundisha wangoje ajira za serikalini na kuilaumu serikali.
Hiyo ndio mikakati ya kufanya na sio tuishi kwa mazoea.
Maana ya kusoma sio kufanya kazi serikalini tu.
Naona umekuja kuniatack directly mimi badala yakuatack mada, wapi umesikia mimi nataka niajiriwe, mimi nafaham mazingira ya Tz vizuri ndio maana ingawa nilimalimaliza chuo lkn nimemaliza chuo miaka 4, nimeajiri vijana 3. Kwahio nazungumzia mfumo wakisera wa nchi ulivyo mbovu,mimi naweza kwenda nje, vipi wengine?. Kuhusu madaktar,walimu nimeadika rudia kusoma mchango wangu juu uelewe, madaktari Serikali haiajir sio kwamba niwengi,kama wengekuwa wengi inamaana kila hospital ingekuwa na MD, au ratio ya wagonjwa 10/16 perday kwakila daktari mmoja. Serikali inasera mbovu kuanzia kwenye elimu mpaka kwenye afya na ajira.
 
Kama unasema wewe umejiajiri na kuajiri vijana 3 ulitumia njia gani ukaweza kujiajiri?
Sasa inatakiwa hizo mbinu ulizotumia mpaka ukaweza kujiajiri ndio uwafundishe vijana na sio kuwafundisha wangoje ajira za serikalini na kuilaumu serikali.
Hiyo ndio mikakati ya kufanya na sio tuishi kwa mazoea.
Maana ya kusoma sio kufanya kazi serikalini tu.
Sio kila mtu anaweza jiajiri. Ukishatambua hilo utaheshimu wanaotafuta ajira.
 
Hii sikupata mkuu alifanikiwa kupata rafiki yangu hata hivyo aligoma kusaini mkataba wao aliniambia ni wachovu tu wasingeweza kunilipa.
 
Hii sikupata mkuu aliipata rafiki yangu ambaye tulienda wote kwa interview hata hivyo aligoma kusaini mkataba wao akaniambia jamaa ni wachovu tu kwa hiyo hata kama ningepata wasingeweza kunilipa kiwango ninachohitaji
 
Tatizo la ajira huwa ni sawa na kitu kinaitwa Inflations, mfumuko wa bei huwa kuna wakayi unafika ni kwamba huwezu kuu controo tena yasni ni haiwezi kudhibitiwa.

Nchi kama Zimbabwe au Venezuela au Uganda kipindi fulani walifikia huko.

Tatizo la ajira ni kama lina puuzwa sana wazazi wako bise kuomba maji na baraba na madaraja ila wanasahau kuishinikiza Serikali kuhusu ajira.

Nchi kama Nigeria au South Africa wana tatizo la ajira ambalo lisha pitiliza na hawawezi lidhibiti tena hata wafanyeje.


Kenya nao ni kama tatizo lao la ajira lisha vuka mipk sasa hawawezi lidhibiti.

Tanzania tunaelekea huko na ndo tunafika yaani kama umelela ndo alfajiri saa 10 kuna karibia kukucha.

Mamlaka zinacheza sana na Tatizo la ajira na linaelekea kuwa nje ya kudhibitiwa, Wahitumu wamejaaa mtaani na hakutakuwa na namna ya kuwa accomodate tena.

Njia za kuweza kuwasaidia zinazidi kuwa nyembamba sana, wangeamua kujiajiri ila kwa mazingira yapi?

Mamlaka zitakuja kubeba lawama sana na hata watawala wajao watakuja kuwa na wakati mgumu sana ndo kinacho tokea Nigeria, South Africa, Kenya na kadhalika.
Mkuu MURUSI umetoa mifano mingi ya tatizo la ajira ukahitimisha na lawama. Nilitegemea, kama mtoa hoja, uwe na mapendekezo ya kutatua ukosefu wa ajira.

Ajira au kujiajiri kunapatikana kwenye sekta kuu za uzalishaji: Kilimo; Uvuvi; Ufugaji; Viwanda na sekta isiyo rasmi ambayo hutokana na mnyororo wa uzalishaji/usambazaji.

Je, ni Sera/Mikakati gani ipo au iliyopangwa kuwezesha na kukua kwa sekta hizo?

Je, ni Sheria, Kanuni na Taratibu zipi zipo au zinapaswa kuwepo kulinda maendeleo ya Sekta hizo?

Ili kupata majibu ya maswali hayo, pitia kwa kina, Ilani zote za Uchaguzi za vyama vya siasa vinavyoshiriki katika Uchaguzi Mkuu.
 
tumeongelea unemployment extensively here in JF,it needs to be tackled from different angles/approaches.......i agree na mtoa mada technical education is the key, alternatively mgawanyo wa masaa ya kazi could also attenuate unemployment crisis kwa mfano masaa yangegawanywa kwa wanaotoka chuo,18-27, 28-39, 40-60, and 60+ nishawahi kuileta topic kama hii...mkanisusia
Naweza kuipata wapi hiyo mada mkuu ?!
 
Mimi nichangie tofauti kidogo kuhusu hili swala la ajira.
Kutatua hili swala la ajira watu wanalitazama kwa upande mmoja tu yaani wanaiachia serikali peke yake.
Hii sio sahihi kabisa,suala la ajira ni pana sana na jamii yote inahusika kwa ujumla kukabiliana nalo.
Nikisema hivyo namaanisha hivi kwa sasa tuna vyuo vikuu vingi sana huwezi kufananisha na miaka ya 90 ambapo vyuo vilikuwa 3 tu.
Sasa kwa huu mfumuko wa vyuo vikuu vilivyopo sasa hivi kila mwaka vinatema wahitimu takribani elfu 50 kila mwaka.
Hakuna njia serikali itafanya na kuwamaliza wote hao ni ngumu lazima wengine watakosa tu.
Kwa hiyo cha kwanza kabla ya yote ni vijana pamoja na wazazi kubadili mtazamo,tusiwe na mentality kwamba tukisoma basi lazima wote tuajiriwe au tuajiriwe na serikali.
Bali tuongeze ubunifu zaidi tutumie elimu zetu kufikiria nje ya box iwe kwa kuajiriwa iwe kwa kujiajiri badala ya kukaa na kutupia lawama upande fulani.
Kuna mchangiaji mmoja humu ameshauri tuwashauri vijana wasomee elimu za ufundi zaidi hili nalikubali kwa asilimia fulani lakini tatizo hata hao waliomaliza wako nyumbani tu wanasubiria ajira za serikali ambazo kwa mwaka zinatangazwa mara moja au mara 2 tu na ukikosa mwaka huu ukae kusubiria hadi mwakani tena huku umekaa tu nyumbani badala ya kutafuta alternative ya kufanya.
Kwa hiyo utakuja kugundua kwamba kikwazo kikubwa ni mentality zetu tukishabadilisha mentality zetu hata mtu aliyesoma sociology hatokosa kitu cha kufanya.
Kuna mdau mmoja alitolea mfano wa nchi zenye tatizo la ajira mimi nitaziongelea nchi za Kenya na Nigeria ambazo zina tatizo la ajira miaka mingi sana tangu miaka ya 90 huko.
Lakini still watu wanajiongeza na wanatusua hivyo hivyo jiulize wanafanyaje ili kutusua.
Niwape mfano mwingine hao Wanigeria na Wakenya wengine wanakuja huku kwetu wanapiga projects za hela ndefu wanatusua kupitia fani zao mbalimbali kama IT,Engineering,Teaching,na fani zinginezo.
Hujawahi kuona Wakenya au Wanigeria huku kwetu wakija wanaanzisha tuition centre tu za kufundisha watoto na wanapiga mahela wakati wewe uliyesoma education umekaa nyumbani unangojea post ya serikali kwa miaka 4.
Haya ukija viwandani kuna wakenya wanakuja kufanya services mbalimbali na huku engineers wapo wamekaa nyumbani kuilaumu serikali.
Kiufupi hili swala linahitaji mkakati wa hali ya juu sana kuweza kulifanikisha.
Kijana sio kweli, fikiria upya.
 
Back
Top Bottom