Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona inafikiwa hy suala la muda tuFuatilia unbeaten ya ac Milan na arsenal halafu useme league zilikuwa vp, ac milan ina record ya unbeaten 58 matches
Kumbe hizi unbeaten huwa zinafuatliliwa kidunia, kumbe hata wewe unazifuatila. Yanga ni timu hata UN wanaifahamu.Fuatilia unbeaten ya ac Milan na arsenal halafu useme league zilikuwa vp, ac milan ina record ya unbeaten 58 matches
Hizo timu zinacheza ligi ya ndani? Huelewi kitu omba ueleweshe, Unbeaten ya Yanga ni kwenye ligi kuu na hata hizo records za akina Arsenal, Benfica ni kwenye ligi zao za ndani na sio kimataifa.RIVERS UTD, AL HILAL OMDOURMAN hizo timu ziliwafunga mkiwa ndani ya msimu husika wa ligi. Ajabu hizo mechi ni kama hamzitambui
Na inapitwa kabisa,binafsi sijaona timu ya kumfunga Yanga msimu huu au sio Shadeeya ?
Hakuna wa kufatilia timu inayocheza kombe la waliofeli. Amka toka usingizini vinginevyo utajinyeaKumbe hizi unbeaten huwa zinafuatliliwa kidunia, kumbe hata wewe unazifuatila. Yanga ni timu hata UN wanaifahamu.
Elewesha hao zuzu wako, unbeaten huku huna lolote kwenye mashindano ya nje?Hizo timu zinacheza ligi ya ndani? Huelewi kitu omba ueleweshe, Unbeaten ya Yanga ni kwenye ligi kuu na hata hizo records za akina Arsenal, Benfica ni kwenye ligi zao za ndani na sio kimataifa.
kwenye bahasha ni kweli wametuzidi.Simba inabidi tukubali wenzetu wametuzidi
Yanga ni timu kubwa sana kwa sasa kama hujui, dunia inafuatilia hizi unbeaten zake. Unicef ni shirika la Umoja wa mataifa (UN) ambalo linaifuatilia Yanga pia, ndio maana UN kupitia Unicef imekubali Yanga itumike kwenye miradi yake ya kupambana na magonjwa ya kuambukiza kama Ebola na UVIKO. UN isingekubali kutumia timu kama Ihefu kwenye kampeni zake.Hakuna wa kufatilia timu inayocheza kombe la waliofeli. Amka toka usingizini vinginevyo utajinyea
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kwa akili hizi za kuzingatia vitu vidogo na kupuuza mustakabali wa maisha yako, utaendelea kubaki masikini mpaka matako yatalia mbwataUmeme na maji vikae pembeni kwanza...wacha wananchi tujivunie bana.