Unazungumziaje usajili wa Antony pale Man Utd baada ya mechi kadhaa sasa

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,911
6,001
Jamaa ni kama amenunuliwa pesa nyingi na ameshindwa kuonyesha kwanini walimnunua kwa pesaa nyingi. Kwakifupi ni kama wamepigwa.
63AD803F-094E-402F-82DA-42CE6E01D612.jpeg
 
Last time nakumbuka aliwafunga Asenali game yake ya kwanza tu, nikajua jamaa atakuwa noma, kumbe ulikuwa upepo tu..
 
Anapenda kucheza na jukwaa na kasema hawez kuacha maana hiyo staili ndio imemfikisha hapo alipo
 
Back
Top Bottom