Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nao ilikuwa zinakatika, sema walikuwa wasiri sana.Hiv kwa nini wanawake huwa hazikatiki?
inakatika kale ka kishikizo cha katikati ya mapata chini ya pumb*Inapandaje juu jamani sijawaelewa
Umenivunja mbavu. Hii kitu ilikuwa inaaibisha sana.
View attachment 1142201
Ha ha ha ha hamuhenga mwenzangu jamboooo???....hio kitu iliwah kuniletea soo kwenye disco la harusi mtaani,,nacheza na kidem changu kimenikamatia vzr na blues la madonna mara mzigo unapanda taratibu mara dem akasema hiki ni nn umejifunga tumboni??...mzee wa watu nikasepa kimya kimya kwenda nyuma ya nyumba kwenye vichaka flani nikaitoa then nikarudi kucheza,ss na vile nimeitoa nilikua nadindisha hadi dem akanikimbia
Ndio hizi?Umenivunja mbavu. Hii kitu ilikuwa inaaibisha sana.
View attachment 1142201
Hapana aisee hazikuwa zinakatika, nadhani utengenezaji wake ulikuwa tofautiNao ilikuwa zinakatika, sema walikuwa wasiri sana.
Acha ubishi, mimi ilinikatikia nakimbia mchamchaka shule ya msingi ikaja kukwama kifuani. Badae nikatafuta pini nikaifungaHapana aisee hazikuwa zinakatika, nadhani utengenezaji wake ulikuwa tofauti
Kumbe wewe wa kike?Acha ubishi, mimi ilinikatikia nakimbia mchamchaka shule ya msingi ikaja kukwama kifuani. Badae nikatafuta pini nikaifunga
hahaha92 - 93 Hiyo unatoroka shule unaingia kitaa kusakata soka, unafunga goli na kuvua t sheti kushangilia unashangaa kitu kimepanda kifuani kama singlendi
VIP chupi zilikuwa za kike tu?Kumbe wewe wa kike?
Soma mtiririko tulikotoka hadi tukafika hapo kwenye comment yangu uliyoquote usikurupukeVIP zilikuwa za kike tu?
Sawa kikurupushi.Soma mtiririko tulikotoka hadi tukafika hapo kwenye comment yangu uliyoquote usikurupuke
Hahaha aise92 - 93 Hiyo unatoroka shule unaingia kitaa kusakata soka, unafunga goli na kuvua t sheti kushangilia unashangaa kitu kimepanda kifuani kama singlendi
Hahaha hivyo hivyo ...VIP aina ya chupi hiyoEnzi hizo mkiwa mmekwaruzana na mtu. Akikwambia VIP , unajibu VIP Chupi
Inapandaje juu jamani sijawaelewa
Ukiona haelewi, wamwambia VIPISI vya sigara...Enzi hizo mkiwa mmekwaruzana na mtu. Akikwambia VIP , unajibu VIP Chupi
Ilikuwa na kawaida ya kukatika hapo katikati ya mpaja zilipo korodani...
Sasa kwa kuwa material yake ni mpira mpira hivi, ukitokea hiyo sehemu imekatika, chupi lote linapanda juu kwa spidi kuelekea juu...
Kinachoizuia ni makwapa au lah kama uko na kitambi itaishia tumboni...