Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,262
- 5,660
Zile AMBAZO ilikuwa ukitembea unadhani imekatika kitenganishi cha paja na paja imepanda Hadi kifuani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hyo ndugu mjumbe kwa mujibu wa picha hizo pichu zilikua zinavaliwa mguu mmoja?Samahani ndugu wajumbe, leo nilikua kwenye jumuiya.
Naomba kuwasilisha....View attachment 959908
Ndugu mjumbe, hizo VIP ziliwahi kunifedhehesha sana aiseeeeee....Kwa hyo ndugu mjumbe kwa mujibu wa picha hizo pichu zilikua zinavaliwa mguu mmoja?
Hahahahahaha hatari kakaChupi unavaa tu vizuri ukichezacheza kidogo unaikuta iko tumboni au kifuani
Haswaaaaoldies
Yes ofcosKuna vikongwe humu
Yuko sahihi kabisa
Kuna mdau kanichekesha alikuwa anacheza mpira Mzigo ukakata kamba ukapanda hadi kwapani
Ni vyupi vililivyokuwa vinatight kinoma, ukiivaa kwa muda mrefu kuna uzi uko kwa chini, baba ule uzi ukikatika! utashtukia kama hujavaa kitu unahisi ubaridi.Sasa wakati unatafakari na kujiuliza VIP ilipokwenda ghafla unashtuka kitu kimepanda hadi kifuani ilikuwa hatari sana. Kwa wale wakongwe ambao mliwahi kuzivaa underwear hizo mnasemaje? na sijui zimepotelea wapi.
Dah! hizi ngoma zilikuwa noma aiseeUmenivunja mbavu. Hii kitu ilikuwa inaaibisha sana.
View attachment 1142201
muhenga mwenzangu jamboooo???....hio kitu iliwah kuniletea soo kwenye disco la harusi mtaani,,nacheza na kidem changu kimenikamatia vzr na blues la madonna mara mzigo unapanda taratibu mara dem akasema hiki ni nn umejifunga tumboni??...mzee wa watu nikasepa kimya kimya kwenda nyuma ya nyumba kwenye vichaka flani nikaitoa then nikarudi kucheza,ss na vile nimeitoa nilikua nadindisha hadi dem akanikimbiaNi vyupi vililivyokuwa vinatight kinoma, ukiivaa kwa muda mrefu kuna uzi uko kwa chini, baba ule uzi ukikatika! utashtukia kama hujavaa kitu unahisi ubaridi.Sasa wakati unatafakari na kujiuliza VIP ilipokwenda ghafla unashtuka kitu kimepanda hadi kifuani ilikuwa hatari sana. Kwa wale wakongwe ambao mliwahi kuzivaa underwear hizo mnasemaje? na sijui zimepotelea wapi.