Jieleze jieleze,
jieleze jieleze,
jieleze jieleze ntajieleza mama,
Mimi hapa ni Madame,
Mama yangu ni Salima
Baba yangu ni Kikwete.
nshajieleza mama.
Yani huo mwimbo unan'koshaga sana shost Charm na mamito cacico.
Hahahaaaa yaani
Jieleze jieleze,
jieleze jieleze,
jieleze jieleze ntajieleza mama,
Mimi hapa ni Madame,
Mama yangu ni Salima
Baba yangu ni Kikwete.
nshajieleza mama.
Yani huo mwimbo unan'koshaga sana shost Charm na mamito cacico.
Nani anakumbuka hii;
" sasa tunawahesabu iyooooo!"
Sasa tunawahesabu
Waliokufa kwa tabu
Bila hatamatibabu
Wengi hawana hesabu
Waliokufa kwa tabu uingerezaaaaa"
Kambona aliagiza iyoooooo!
Kambona aliagiza
Mkipigana mkimaliza
Pindueni mkiweza
Nitawapeni mapesa
Nikirudi safarini uingerereza!
Tom Mboya wa Kenya iyooooo!
Tom Mboya wa Kenya
Ji kiongozi shupavu
Kala risasi ya taya
Maharamia wabaya
Wala hawaoni haya
Kumuua!!!
Kuna huu mstari kimbia ng'ombe kimbia upesi baba ana njaa. Sijui ilikuwa kitabu gani?
Hima himaaaaaaaaaaaaa
Tanza............niaaaaa
Hima Himaaaaaaaaaaaa
Tanza.............niaaaaa
Sisi vijana wa chama........
Daaah haka ka wimbo. Enzi hizo Mama kabla hajaanza kunichapa na mwiko na vifaa vingine vya usafi na upishi.kaka kaka musa kaka musa walalaaaaaaaaa walalaaaaaaaaaaaa
amka twende shulex2
ndi ndo ndi
ndi ndo ndi