NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,518
- 3,130
Wakuu habarini za weekend!
Napenda kufahamu namna ya kutumia hii VPN kwenye simu ya Android maana naona kwenye setting za network ipo.
Pia nini faida zake kama nikiamua kuwa naitumia na inaweza kutumika kwenye WiFi au hata hizi internet za Halotel na Voda?
Napenda kufahamu namna ya kutumia hii VPN kwenye simu ya Android maana naona kwenye setting za network ipo.
Pia nini faida zake kama nikiamua kuwa naitumia na inaweza kutumika kwenye WiFi au hata hizi internet za Halotel na Voda?