Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Wakuu naombeni ushauri...
Hivi ikitokea kuna binti umempa ujauzito na maisha yako hayaeleweki nikiwa nina maana kimaisha bado haujasimama vizuri unawezaje kutatua Aina hii ya changamoto katika njia bora na kidiplomasia.
Hivi ikitokea kuna binti umempa ujauzito na maisha yako hayaeleweki nikiwa nina maana kimaisha bado haujasimama vizuri unawezaje kutatua Aina hii ya changamoto katika njia bora na kidiplomasia.