Wasalam
Moja kwa moja kenye mada, Hivi unawezaje kumrudia mtu ambaye mliachana.
Waza kwamba mhusika unaetaka kumrudia kapita na wangapi toka mmeachana.
kama mwanzo hamkuweza kukuza uhusiano wenu ni kipi kinakuwa hakikishia kuwa mkirudiana itawezekana.
Tuseme bado unampenda na yy ndio alikuacha sasa amerudi, unawezaje kuamini kuwa hatokuacha tena
Wenye uzoefu kwenye hili naombeni msaada.
#POLE DEAR X
Tairus.
Big up! Umejaribu kuwaza nje ya box.Hutaki kurudiana na ex wako ila unsonga mbele na ex wa mwenzako..
Na hapo ukumbuke na we pia ni ex wa mtu
Ubwege zaidi ni kumuacha mpenzi wako kosa kakusaliti au ulimfumania,unaenda kuanza mahusiano mapya na ex wa mwingine ambae nae aliachwa kwa kufumaniwa..atakwambia ukweli?
Muda mwingine huwa amejaribu kutafuta kikojoleo kipya na kizuri kuliko cha aliyekuwa mpenzi wake, lakini mwisho wa siku amegundua cha mpenzi wake aliyemuacha kina afadhali kuliko cha hao aliowapata baada yake!!Kwa kifupi ukisoma saikolojia ya mapenzi mtu anaetaka kurudiana na mpenzi wake wa zamani au amerudisha mapenzi kwa mpenzi wa zamani ujue
1.alichotegemea katika mahusiano mapya Socho anaona bora amrudie Yule wa zamani
2.amekosa mtu wa kufanya replacement hivyo anaona bora nirudi kule kule kwa zamani
3.amegundua mpenzi wake wa zamani ana maisha mazuli hivyo anaona aibu watu watamuonaje
4.Hofu ya kuanza upya Katika mapenzi hapa hivyo kumpata mwingine kama yeye amemkosa anaona bora nibakie hapa hapa
5.mwingine anatafuta njia ya kupona ugojwa wa Sonona
True....Kama mlianza kama marafiki, mkawa wapenzi na mkishandana tabia, hapo mkiachana kila mmoja ale hamsini zake. Hakuna kujuana juana.
Muhimu.labda kupasha kiporo bt kurudiana NEVER
Umeshasema kwa wengine..uwe na akili ya kuelewa kilichoandikwa kuku weweHata uko kwingine unakokimbilia ni matapishi kwa wengine
Mbona unakuwa mkari sasa !???? Kapiga kwenye mshono ??Umeshasema kwa wengine..uwe na akili ya kuelewa kilichoandikwa kuku wewe
Aahaa! Kuku?Umeshasema kwa wengine..uwe na akili ya kuelewa kilichoandikwa kuku wewe
Hiyo injili ninayo hapa mkuu, ebu fanya uje tuisongeshe...🤠🤠Ni kusonga mbele tuu kama injili
Ila kiporo kitamu bhuanaX wangu alikuja kuni propose upya eti! Oo! Turudiane akaweka na maandiko "msamehe mwenzio mara saba usabini" nikasema sawa.
Nilipomuona tu roho ikafanya paaa! Tukafanya kwa ndom!
Baadae nikajua mtu wake alikufa kwa ukimwi. Hivi na mimi alitaka kuniweka kwenye list. Jiazali na x . rudia lkn jiulize km ivo!
Mkuu baba saw a. kiangalie pia km panya wenye sumu walikichezea usiku.Ila kiporo kitamu bhuana
Kwenye mshono wako au?Mbona unakuwa mkari sasa !???? Kapiga kwenye mshono ??
Kuna kaukweli hapo lakini.......Hahahaa
Unadiss matapishii yako unaenda lamba ya mwingine..unajiona bonge la mjanja
Haya mambo hayahitaji uwe muongeaji na muhukumu plus mjuaji.
Kwa kimyaa
Kinachokushangaza Nini?Aahaa! Kuku?
Wasalam
Moja kwa moja kenye mada, Hivi unawezaje kumrudia mtu ambaye mliachana.
Waza kwamba mhusika unaetaka kumrudia kapita na wangapi toka mmeachana.
kama mwanzo hamkuweza kukuza uhusiano wenu ni kipi kinakuwa hakikishia kuwa mkirudiana itawezekana.
Tuseme bado unampenda na yy ndio alikuacha sasa amerudi, unawezaje kuamini kuwa hatokuacha tena
Wenye uzoefu kwenye hili naombeni msaada.
#POLE DEAR X
Tairus.