Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 676
- 1,055
Wasalam
Moja kwa moja kenye mada, Hivi unawezaje kumrudia mtu ambaye mliachana. Waza kwamba mhusika unaetaka kumrudia kapita na wangapi toka mmeachana. Kama mwanzo hamkuweza kukuza uhusiano wenu ni kipi kinakuwa hakikishia kuwa mkirudiana itawezekana.
Tuseme bado unampenda na yy ndio alikuacha sasa amerudi, unawezaje kuamini kuwa hatokuacha tena ๐ ๐ ๐
Wenye uzoefu kwenye hili naombeni msaada.
#POLE DEAR X
Tairus.
Moja kwa moja kenye mada, Hivi unawezaje kumrudia mtu ambaye mliachana. Waza kwamba mhusika unaetaka kumrudia kapita na wangapi toka mmeachana. Kama mwanzo hamkuweza kukuza uhusiano wenu ni kipi kinakuwa hakikishia kuwa mkirudiana itawezekana.
Tuseme bado unampenda na yy ndio alikuacha sasa amerudi, unawezaje kuamini kuwa hatokuacha tena ๐ ๐ ๐
Wenye uzoefu kwenye hili naombeni msaada.
#POLE DEAR X
Tairus.