Mokobe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2020
- 1,249
- 1,529
inafaa sana mkuuSawa mkuu kumpa kama zawadi ni njia bora pia
inafaa sana mkuuSawa mkuu kumpa kama zawadi ni njia bora pia
Ndo maana yake hahahhahahhahaHahahahaaaa ngumi za mdomoni eti mkuu?
Hahahahaaa noma sana mkuuNdo maana yake hahahhahahhaha
Unamaanisha niandike hivi "Unawezaje kumwambia swahiba/rafiki yako ajirekebishe jambo fulani pasipo kuikwaza nafsi yake? Mfano kinywa chake hakipo katika hali nzuri siku hiyo" katika status yangu ili nimfikishie ujumbe indirectly. Au sio mkuu?
Maeneo ya kanisani watu huamini sana kuwa kuchomekea ndio ishara njema ya mtu aliyestaarabikaKama mimi juzi kati hapa naitwa na mzee fulani Kanisani ananiambia Bwana mdogo nakupenda sana lakini utanisamehe kama nitakukwazwa, Akaanza kwa kuniambia kuna Padri mmoja alipandishwa cheo SAUT Mwanza, Hivyo kwa hadhi ya cheo kile ilibidi hata life style nayo ibadilike kulingana na cheo chake hivyo aliambiwa mavazi,gari na vitu vingine lazima vibadilike atake-asitake na ikawa hivyo.
Sasa kesi yangu inaelekea huko nimechaguliwa kanisani kuwa nakaribisha watu na huwa sipigi machomeko, tai n.k, kwahiyo aliniona kama kibaka fulani hivi(hahahaha), akaniambia unakaribisha watu wakubwa hivyo jitahidi kufanyia ushauri wangu kazi huku akirudia utanisamehe kama nimekukwaza.
Though naamini kila mtu ana definition yake ya smartness, yangu imejikita zaidi katika utulivu wa akili haijalishi machomeko wala tai lakini mind yako inakuwa huru kulingana na dressing code yako, kikubwa hauvunji sheria.
Hahahahaaaa mimi nina aibu sana na siwezi kusema hivi aiseeBro jichunguze kinywa chako Akiko sawa labda hupigi mswaki vizuri ama harufu inatoka tumboni.
Marafiki wa kukusema pembeni nao sio poa kabisa mkuu...Kuna marafiki wengine wanafanya hivo, ila wengine wanaenda kukusema kwa wengine wakijifanya wanakuonea hurum kwa kukosea kitu fulan kumbe ndio wanapata nafasi ya kukusema.
Huo ni sawa na unafikiMarafiki wa kukusema pembeni nao sio poa kabisa mkuu...
Kwa aibu hizo utaweza kunitongoza kweli?Hahahahaaaa mimi nina aibu sana na siwezi kusema hivi aisee
Siku ya harusi yetu vaa mchomeko sweetheart wanguMaeneo ya kanisani watu huamini sana kuwa kuchomekea ndio ishara njema ya mtu aliyestaarabika
Bila shaka ndicho anachomaanishaUnamaanisha niandike hivi "Unawezaje kumwambia swahiba/rafiki yako ajirekebishe jambo fulani pasipo kuikwaza nafsi yake? Mfano kinywa chake hakipo katika hali nzuri siku hiyo" katika status yangu ili nimfikishie ujumbe indirectly. Au sio mkuu?
Hata mimi nimemuelewa huyo lijamaaBila shaka ndicho anachomaanisha
Michomeko ni nguo za heshima sana tu sema vijana wengi hawajuiSiku ya harusi yetu vaa mchomeko sweetheart wangu
Iko poa tu bwasheeMada nzuri
SanaIko poa tu bwashee
Unavaaga?Michomeko ni nguo za heshima sana tu sema vijana wengi hawajui
Wewe hauvaagi dada?Unavaaga?