Unawezaje kumsamehe mwanaume aliyekusaliti kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi?

Ndoivo Naomba mungu anisaidie tu hiki kipindi kipite nisahau kabisa nirudi kuwa kawaida!
Kuwa kawaida mara nyingi ni hadi nawewe uliwe nje. Otherwise inatesaga wengi hio hali ya dead butterflies!!!
 
Mimi hata unikute nae nakataa yani nakataa simjui
Nishamkataa demu live mgahawani kipindi hiko yani😅 nikambatiza kuwa ni mdogo wake na best yangu mmoja bibie alikuwa hamjui😅 siku wanakuja kukutana na huyo ndugu yake na best yangu wa kweli kweli nikawaunganisha wakaelewana kichizi.Eti mbona kama sio yule nikamwambia kipindi kile alisuka now amekata nywele ziko rough punk!😅

Haya mambo si ya wavulana😅 jamani. For real dawgs!!!
 
Msamehe..wengi wetu tumesamehewa..wanaume wana-kashida hako.. lakini ukiwa mtulivu (yaani usimgombeze Sana) atajuta Sana.. lakini ukileta fujo ataona umelipiza ataendelea.
 
Habari za weekend wanajamvi!

Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!

Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.

Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!

Samahani kwani yeye ana umri gani na wewe una umri gani?
 
Habari za weekend wanajamvi!

Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!

Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.

Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!

Kama ww ni mkristo, Kwa Hilo jambo bible ipo wazi kabisa unaruhusiwa kumwacha, ila ana kheri yule amsemeheaye mwenzake na kuendelea na ndoa
 
Ndio mkome wajinga mpaka damu itoke masikioni ndo mtaelewa, kila siku mnaambiwa mwanamke ameumbwa kuhudumia familia na kukaa nyumbani mnajifanya mafeminist ooh wapambanaji wajinga watupu haya umeondoka kidume kaleta mwanamke mwingine. Badala ukae umuhudumie mumewe unajifanya unajua sana kutafuta hela haya nenda kaolewe na noti ya elfu kumi.
Habari za weekend wanajamvi!

Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!

Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.

Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!

 
Kosa alilofanya mumeo ni kosa kubwa ambalo ni kukili na hili kosa halitakiwi kufanywa na mwanaume yeyote
na hastahili kusamehewa.
Tofauti na hapo naona hana kosa kabisa kwa kukili kosa mmeo ananafasi yake peponi(i.e kiongozi wa malaika)
yawezekana kwa Tanzania ni yeye pekee aliye fanikiwa kukiri kosa kwa mwaka huu wa 2021.
N:B Naomba asisamehewe iwe fundisho kwa wanaume wote wenye tabia kama zake za kukubali kosa kwa vinywa vyao.
 
Back
Top Bottom