Grey256
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 1,211
- 2,524
Good act hapo ilikua ni kukataa kata kata mkuu...Hata kama alionekana akiingiza dem na picha ziwepo za ushahidi bado angesema hawakufanya kitu.Refer to: Importation of goods Act.
Good act hapo ilikua ni kukataa kata kata mkuu...Hata kama alionekana akiingiza dem na picha ziwepo za ushahidi bado angesema hawakufanya kitu.Refer to: Importation of goods Act.
Jamaa ni ndezi, mie hata nimpendeje mke siwezi kubali kosa la kizembeGood act hapo ilikua ni kukataa kata kata mkuu...Hata kama alionekana akiingiza dem na picha ziwepo za ushahidi bado angesema hawakufanya kitu.
Kuwa kawaida mara nyingi ni hadi nawewe uliwe nje. Otherwise inatesaga wengi hio hali ya dead butterflies!!!Ndoivo Naomba mungu anisaidie tu hiki kipindi kipite nisahau kabisa nirudi kuwa kawaida!
Nishamkataa demu live mgahawani kipindi hiko yani😅 nikambatiza kuwa ni mdogo wake na best yangu mmoja bibie alikuwa hamjui😅 siku wanakuja kukutana na huyo ndugu yake na best yangu wa kweli kweli nikawaunganisha wakaelewana kichizi.Eti mbona kama sio yule nikamwambia kipindi kile alisuka now amekata nywele ziko rough punk!😅Mimi hata unikute nae nakataa yani nakataa simjui
Nawamanya yani hako katabia mpk tutoto tudogo twa kiume tunafanya yani hatukubali kwa haraka..hahaahJamaa kafanya undezi hapo mjuba nisingefanya makosa hata jini angesingiziwa😅
Huyo dogo baharia niletee nimpe pipi😅Nawamanya yani hako katabia mpk tutoto tudogo twa kiume tunafanya yani hatukubali kwa haraka..hahaah
Achukue hatua gani?Mtu akisaliti mara ya kwanza atarudia zaidi na zaidi.....take action, otherwise jipange kuvumilia kila siku
Wasn't me-ShaggyJamaa ni ndezi, mie hata nimpendeje mke siwezi kubali kosa la kizembe
Kama ni imara aondoke ila kama ni dhaifu abaki aendelee kuvumiliaAchukue hatua gani?
Samahani kwani yeye ana umri gani na wewe una umri gani?Habari za weekend wanajamvi!
Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!
Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.
Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!
Huyo mwanaume hamtaki mke wake alikuwa anatafuta exit door tayari ameshaipata sasa uamuzi upo kwa mke wake.
Kama ww ni mkristo, Kwa Hilo jambo bible ipo wazi kabisa unaruhusiwa kumwacha, ila ana kheri yule amsemeheaye mwenzake na kuendelea na ndoaHabari za weekend wanajamvi!
Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!
Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.
Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!
Pole sana, msamehe endelea na maisha kupata mwanamme ambayebm hacheat ni ngumu sana sasa hivi, tumebaki 9 hapa Tz lakin namie naenda kushindwa sio muda hivyo watabaki 8
Christianity ndio dini gani mdada?Christianity!
Habari za weekend wanajamvi!
Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!
Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.
Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!
Daaah! Mbinguni mtapasikia tuHii code tamu sana kwa kulia kimasihara
Dah so Unanishaurije mkuu!!?