Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,746
Hizo ni theoretical thinking, realistic thinking kukiri kosa ni zaidi ya kujihukumu death sentence kwa mwanamke.
Ni tabia ya mtuhumiwa kukana kosa!
Hizo ni theoretical thinking, realistic thinking kukiri kosa ni zaidi ya kujihukumu death sentence kwa mwanamke.
Kwa vitu vingine sio hilo lakuleta nyumbani kahabaMathew 18:21 Kisha Petro akaja kwa Yesu akamwuliza, “Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami niendelee kumsamehe? Hata mara saba?” 22 Yesu akamjibu, “Sikuambii mara saba, bali saba mara sabini.”
Mosi hana akili hakuiva kuwa mmeUnajua nini kaka,, kwako ni kwako tu. Niliporudi the same day niliona mabadiliko hapo nyumbani ambayo yalinipita wasiwasi mkubwa! Yani kulikua na vitu tofauti na nilivyoviacha mimi pia katika kufanya usafi mara nikute cheni . Kuna vyombo vyangu vingine nilikua sivioni. Nguo yangu fulani hivi ( kikoi) pia sikuvikuta sasa kumuuliza hanyooshi maelezo dah..
Tena mpumbafu kumzidi Yuda IskariyoteKuna baadhi yetu wanaume ni wapumbavu sana,unapelekaje malaya nyumbani?kabisa unakoishi na mke na watoto unaokota mwanamke unaenda kulala nae humo?na anadhihirisha upumbavu wake kwa kukiri kufanya hayo!
Ni pombe au kitu gani!!!
Mungu huwa anapiga vibaya, afadhali yeye mwenyewe amsamehe.We mshitakie Mungu tu
Basi hapo ni kwake piaEvidence zinatosha kabisa nyingine sijazisema tu na mbaya zaidi siku nimefika tu huyo mwanamke siku kama ya 3 alikuja Akanikuta nje ya nyumba napika huku nimevaa shati la bwanaetu niseme . Aliponiona alishtuka sana kaniangaliaaaaa hajasema kitu akaondoka .
ChristianChristianity!
Pole dear.... Futa kila kitu kuhusu hayo mambo mabovu.... Ongeza kumbukumbu za mambo yote mazuriHabari za weekend wanajamvi!
Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!
Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.
Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!