Masterplan
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 209
- 348
Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo ,ni hivi najua baadhi ya watu wakisha pima HIV kwa Mara ya kwanza hata hawarudii tena ,siku watakayotaka kufanya mapenzi,.
hata kama ndio mpenzi wako unaye unamuamini kuwa yupo vizuri kiafya na ukiangalia una zaidi ya mwezi,.
Je, unamuamini sana kuwa hajaruka kwingine huko au?.
Kwa ushauri tu tusiaminiane sana kwa sababu yule unayemuamini usikute ndio atakuletea shida.
Tuchukue Tahadhari na tupunguze uzinzi
hata kama ndio mpenzi wako unaye unamuamini kuwa yupo vizuri kiafya na ukiangalia una zaidi ya mwezi,.
Je, unamuamini sana kuwa hajaruka kwingine huko au?.
Kwa ushauri tu tusiaminiane sana kwa sababu yule unayemuamini usikute ndio atakuletea shida.
Tuchukue Tahadhari na tupunguze uzinzi