Unawezaje kuepuka changamoto za kumzalisha binti kabla ya ndoa

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Kama mnavyojua swala la mimba na binti kupata ujauzito akiwa nyumbani huwa kuna changamoto nyingi sana binti anaweza kupitia kutoka kwa wazazi wake na mwanaume anaweza akazipitia japo sio sana

Kama mnavyojua hakuna mzazi anayependa kumuona binti yake akipata ujauzito au mimba akiwa bado hajaolewa na mwanaume aliyempa mimba hajulikani kwao

Hivyo basi naombeni ushauli jinsi Gani ya kujipanga ili kuepuka changamoto zinazoweza kujitokeza maana soon naweka mimba ili kuweka ngome mchumba asije kupeperuka au akaona nampotezea muda
 
Nenda kwao kajitambulishe Kwanza

Pili Tafuta pesa ya kutunza ujauzito weka akiba isiwe chini ya 500,000 kama kianzio

Tatu Tafuta pesa ya matunzo ya mtoto weka akiba isiwe chini ya 500,000 kama kianzio

Nne tafuta hela ya kishika uchumba weka Akiba maximum isiwe chini ya elfu 50,000 kama kianzio

Ukishakamilisha hayo weka mimba
 
Haina shida, anaweza... inategemea na ndoa ya dizaini gani, kama ni kushikana mikono kwenda kufungishwa kanisani/kwa sheikh/bomani ni sawa ila kama ni zile mishe mishe za kuchangisha milion 17 kuanza mambo mengi ni kumchosha mama kijacho na kumpa stress tu
Shukrani, itabidi tuwaige majizo na lulu
 
Nenda kwao kajitambulishe Kwanza

Pili Tafuta pesa ya kutunza ujauzito weka akiba isiwe chini ya 500,000 kama kianzio

Tatu Tafuta pesa ya matunzo ya mtoto weka akiba isiwe chini ya 500,000 kama kianzio

Nne tafuta hela ya kishika uchumba weka Akiba maximum isiwe chini ya elfu 50,000 kama kianzio

Ukishakamilisha hayo weka mimba
Mwambie akumbuke kumkatia bima ya afya huyo mwanamke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom