Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Sio kila mtu huwa anapenda kukuona ukivuka hatua moja kwenda hatua haswa Ndugu zetu wa karibu kama vile akina Baba Mkubwaa, wajomba akina Bamdogo, mashangazi n. K
Unapokuwa unataka kufanya jambo ambalo unaona linaweza kukuvusha hatua moja kwenda wao huja na maneno ya kukukatisha tamaa na kitu unachotaka kukifanya wao wanaona ni useless unapoteza tuu muda wako hivyo huja na maneno ya kukuvunja ionekane unachofanya hakina thamani
Je unawezaje kudeal na watu kama hawa ambao hata hawajawahi kuku Support kwa jambo lolote kuhusu maisha ili uweze kusogea
Unapokuwa unataka kufanya jambo ambalo unaona linaweza kukuvusha hatua moja kwenda wao huja na maneno ya kukukatisha tamaa na kitu unachotaka kukifanya wao wanaona ni useless unapoteza tuu muda wako hivyo huja na maneno ya kukuvunja ionekane unachofanya hakina thamani
Je unawezaje kudeal na watu kama hawa ambao hata hawajawahi kuku Support kwa jambo lolote kuhusu maisha ili uweze kusogea