Injini iliyofungwa ilitaarifiwa ingekiwezesha kivuko kusafiri kwa dakika 45. Lakini hilo halijawahi kufanikiwa, kwani kivuko kilikuwa kinaenda mwendo wa saa 1:30 kuendelea.
Naamini, ukarabati huo, ama haukukamilika, au injini ilikuwa mtumba kama kivuko cha bagamoyo, na pia waliopakia abiria hawakuzingatia uwezo wa kivuko.
Naamini, ukarabati huo, ama haukukamilika, au injini ilikuwa mtumba kama kivuko cha bagamoyo, na pia waliopakia abiria hawakuzingatia uwezo wa kivuko.