Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,594
- 2,717
Sasa ryana fan unaongea nini mbona sikuelewi ?, unaunga hoja au unapinga ?, kuwa muungwana, kipi hapo kinahusisha kuchochea ?, nyie wafia Lumumba huwa mnapenda kujitoa akili, naamini una ufahamu mzuri ila inapofika serikali yenu kusemwa akili zenu zinaondoka, namshukuru Nape kwani aliwahi kukiri hadaharani kwamba Hali ilikuwa tete mwaka 2015 wakati wa kampeni za uchagu na iliwalazimu wawe kama wehuAcha miemko ya kuchochea usichokifahamu. Kivuko kinapaswa kubeba watu *101* na Mpaka sasa Miili iliyoopolewa *209* Watu waliookolewa Hai *41* Jumla *250* lakini siyo hakika kama wameisha Ama lah!!
Mungu ibariki Tanzania Mungu Awafariji Ndugu, Jamaa na Marafiki Waliyowapoteza Wapendwa wao_