Wa kupuuzwa
Member
- Oct 2, 2020
- 94
- 63
Habari za wakati huu,
Kwanza kabisa nikiwa Kama mTanzania naungana na waTanzania popote walipo ndani na nje ya kuomboleza kifo cha Hayati J. P Magufuli!
Niende Moja kwa Moja kwenye Mada
Kama tunavyojua bodi ya mikopo. Imekuwa ikitoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya kujikimu katika maisha yao yote watakaokuwepo vyuoni.
Kuna perceptions kuwa hela za Bodi hazi-sevuki na wengine wanaenda mbali zaidi wanasema fedha ni za mashetani yaani laki tano ya UDOM, UDSM, St Augustine, ARU, Mzumbe n.k ni tofauti kabisa na laki tano ya mtaani.
Wengine wanasema kuwa fedha zinase-vuka its depends na lifestyle ya mtu mwenyewe.
Let's share the experience, is that possible or not? If yes How did you guys manage to do that so?
Kwa maisha ya Dar, Mwanza, Moro, Dodoma n.k
Note! I was admitted UDSM in 2019 Bachelor of laws (LLB) unfortunately I didn't attend, so I have no Idea with UNIVERSITIES LIFE STYLE
Kwanza kabisa nikiwa Kama mTanzania naungana na waTanzania popote walipo ndani na nje ya kuomboleza kifo cha Hayati J. P Magufuli!
Niende Moja kwa Moja kwenye Mada
Kama tunavyojua bodi ya mikopo. Imekuwa ikitoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya kujikimu katika maisha yao yote watakaokuwepo vyuoni.
Kuna perceptions kuwa hela za Bodi hazi-sevuki na wengine wanaenda mbali zaidi wanasema fedha ni za mashetani yaani laki tano ya UDOM, UDSM, St Augustine, ARU, Mzumbe n.k ni tofauti kabisa na laki tano ya mtaani.
Wengine wanasema kuwa fedha zinase-vuka its depends na lifestyle ya mtu mwenyewe.
Let's share the experience, is that possible or not? If yes How did you guys manage to do that so?
Kwa maisha ya Dar, Mwanza, Moro, Dodoma n.k
Note! I was admitted UDSM in 2019 Bachelor of laws (LLB) unfortunately I didn't attend, so I have no Idea with UNIVERSITIES LIFE STYLE