Unawezaje ku-save fedha za kujikimu zikusaidie baada ya kuhitimu

Ina sevika vzr, tafuta washkaji wanne wanaojielewa , kila boom mnamchangia mmoja wenu kama ni laki tatu ok mbili kwa matumizi mpaka unamaliza utakuwa na mtaji wa kutosha ata kununua bajaji after chuo maisha rasmi yanaanza

Ukipuuza utakuja kukumbuka iki kitu punguza matumizi yasiyo ya lazima

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app

Mkuu bajaji ya mil 6? Same how nimekuwa motivated kama hutojali endelea kushusha madini inawezekanaje hio?
 
Mkuu bajaji ya mil 6? Same how nimekuwa motivated kama hutojali endelea kushusha madini inawezekanaje hio?
Achana na maswala ya kuchangia utakuja lia. Kama wewe mwenyewe hujiamini kujitunzia hela zako kwanini umuamini mtu baki mliekutana chuo. Weka fixed account hela au saving account kama sio nyingi. Ukishindwa kula hela ziishe usijichanganye eti umezungusha. Kwanza hapo hamna kesi, huwezi mshtaki mahakama yoyote na ninavyojua huwa mnakubaliana kwa mdomo bila maandishi.

Jamaa yangu kapigwa tarehe 31 ilikuwa zamu yake kupata mwenye hela hapatikani, akirudi atakuja amekunja mikono nyuma akitanguliza neno tuongee.
 
Mkuu bajaji ya mil 6? Same how nimekuwa motivated kama hutojali endelea kushusha madini inawezekanaje hio?
Bajaj ya milioni 6 used ipo sawa. Unajua ili ufanye saving ya milioni 6 kila boom yako unayopata usitumie hata mia, unaweza hilo?

Kama unasoma miaka mitatu na sio special faculty. Unapata 510,000 kwa Q1 ambayo ni 1M kwa semester. Kwa mwaka unapata 2M za boom, kwa miaka mitatu ni 6M ambazo ni M&A pekee.

Ukipata zile hela za field ambao sio special faculty nadhani wanapata laki 4 ambao ni special faculty ni laki 6. Ukipata pia zile B&S laki 2 kila mwaka ambazo nazo hazitabiriki. Sasa wewe utasave nini mpaka upate 6M. Unataka usave zaidi ya 75% ya boom, utakufa.
 
Habari za wakati huu,

Kwanza kabisa nikiwa Kama mTanzania naungana na waTanzania popote walipo ndani na nje ya kuomboleza kifo cha Hayati J. P Magufuli!

Niende Moja kwa Moja kwenye Mada

Kama tunavyojua bodi ya mikopo. Imekuwa ikitoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya kujikimu katika maisha yao yote watakaokuwepo vyuoni.

Kuna perceptions kuwa hela za Bodi hazi-sevuki na wengine wanaenda mbali zaidi wanasema fedha ni za mashetani yaani laki tano ya UDOM, UDSM, St Augustine, ARU, Mzumbe n.k ni tofauti kabisa na laki tano ya mtaani.

Wengine wanasema kuwa fedha zinase-vuka its depends na lifestyle ya mtu mwenyewe.

Let's share the experience, is that possible or not? If yes How did you guys manage to do that so?
Kwa maisha ya Dar, Mwanza, Moro, Dodoma n.k

Note! I was admitted UDSM in 2019 Bachelor of laws (LLB) unfortunately I didn't attend, so I have no Idea with UNIVERSITIES LIFE STYLE
Pole. Japo kwa mwandiko huu ni kama ulikua Admitted BA Archaeology
 
Fedha za kujikimu zikusaidie baada ya kuhitimu

Check the Rhymes YO!
Check the Rhymes!🎶🎶🎶🎶🎶🎶
 
Back
Top Bottom