unaweza ukajiamini kwa sababu ya uwezo wako wa mbio tu!!!!

Anyisile Obheli

JF-Expert Member
Dec 13, 2009
3,407
266
28945_1402557178593_1072254508_1112497_6216327_s.jpg
 

kasimba123

JF-Expert Member
Apr 18, 2010
1,755
808
hii iunanikumbusha wakati niko mdogo tunachokoza kuku wenye vifaranga na kama hukukimbia utaparuriwa
 

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,268
10,298
Hii imenikumbusha utotoni kuna mzee alikuwa mnoko kweli na alikuwa hapendi watoto wacheze karibu na nyumba yake. Sasa sisi ndo ukawa mchezo wetu, tunaenda pale tunapiga makelele yeye akitoka na panga sisi tunatoka nduki ila ule mchezo ulikuwa hatari kweli manake mzee alikuwa anasifika kwa kucharanga watu mapanga ila sisi hatukujali hilo..

Utoto Bana, raha tupu..
 

shanature

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
977
385
hahaaaaaaaaa mavi bana hayana mwiba lakini ukiyakanyaga lazima utachechemea hahaaahaaaaa:yield:
 

Anyisile Obheli

JF-Expert Member
Dec 13, 2009
3,407
266
Hii imenikumbusha utotoni kuna mzee alikuwa mnoko kweli na alikuwa hapendi watoto wacheze karibu na nyumba yake. Sasa sisi ndo ukawa mchezo wetu, tunaenda pale tunapiga makelele yeye akitoka na panga sisi tunatoka nduki ila ule mchezo ulikuwa hatari kweli manake mzee alikuwa anasifika kwa kucharanga watu mapanga ila sisi hatukujali hilo..

Utoto Bana, raha tupu..
he mkuu ila panga nalo lina sura mbaya
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Top Bottom