Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Wahenga walishasema ndugu wakigombana shika jembe ukalime! Aisee waliona mbali sana
Sasa ukitokea wapenzi wamegombana na wakaja kuomba ushauri na wewe ukamponda mpenzi wake ni kumshauri kuwa waachane na maneno ya shombo kibao kumponda jamaa! Amini usiamini wanaweza wakaachana sawa ila siku wakipatana na kurudiana utachukiwa milele!
Yaani wewe mtoa ushauri ndio utaonekana ndio mchonganishi, unaweza kupoteza marafiki wengi kwa kujifanya wewe ni kungwi!
Utasikia fulani ndio aliniambia nikuache aisee utachukiwa milele!
Unaweza kutoa ushauri wowote kwa wapendao kama wakikuomba ufanye hivyo ila kamwe usije ukaweka neno muache ama hafai!
Utakumbana na aibu ya mwaka
Sasa ukitokea wapenzi wamegombana na wakaja kuomba ushauri na wewe ukamponda mpenzi wake ni kumshauri kuwa waachane na maneno ya shombo kibao kumponda jamaa! Amini usiamini wanaweza wakaachana sawa ila siku wakipatana na kurudiana utachukiwa milele!
Yaani wewe mtoa ushauri ndio utaonekana ndio mchonganishi, unaweza kupoteza marafiki wengi kwa kujifanya wewe ni kungwi!
Utasikia fulani ndio aliniambia nikuache aisee utachukiwa milele!
Unaweza kutoa ushauri wowote kwa wapendao kama wakikuomba ufanye hivyo ila kamwe usije ukaweka neno muache ama hafai!
Utakumbana na aibu ya mwaka