Ibnu uthaimin
Member
- Jul 22, 2020
- 23
- 22
Wadau nilikuwa nauliza ivi inawezekana mtu kumaliza form four na akaenda kusomea diploma nje ya nchi.. Au ni tanzania pekee ndo inatoa elimu kwa ngazi ya diploma.. Na je mtu akitaka kusoma nje ya nchi baada ya form four anafanyeje.. Mwenye kujua anieleweshe plz