Unaweza kuwatambua hawa hawa..?

sosoliso

JF-Expert Member
May 6, 2009
8,539
9,462
1. bc.jpg 2. che guevara.jpg 3. ma b.jpg 4. pres.jpg

Haya kazi kwenu kutambua hao ni akina nani.. Angalizo picha namba 3 inamuonyesha Muhammad Ally.. Hao wengine ni nani..?

cc Paloma.. Passion Lady.. Madame B Bishanga.. saudari.. Safari_ni_Safari.. Bujibuji.. Elli.. Erickb52.. Arushaone.. manoah.. Mr Rocky & others
 
Macho yangu yako kidigitali zaidi.
sosoliso, hebu niwekee wakidigitali nikudadavulie faster.

Ha ha ha.. Macho yako hayana nguvu hayo saudari.. Mapenzi yenu ya kisasa wanakunyonya mpaka macho.. Utapoteza saiti ukifanya mchezo..
 
Last edited by a moderator:
Nimemuöna mfalme wa rock n roll japo wanasema soda ina gesi lakini haitokei ntwara nnesafari kutoka dar mpaka ntwara sijaona hata nti m1 neona nlima tu japo inategemea ntu na ntu.
 
cc.jpg

Aiseee Bujibuji ukipatia hapa nitakuamkia mpaka mwaka uishe.. Ni nani huyu..?
 
Last edited by a moderator:
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom