Inawezekana sana,waliomaliza DIT 2006,kurudi nyuma walikuwa wanapata ADE,advanced diploma in engineering,walikuwa wanasoma masters vzr tu wakienda UD,nafikiri Kuna mwaka mmoja unapiga post graduate diploma,then unaendeleaHabari wakuu
Ningependa kufahamu juu ya hili jambo nna higher diploma nataka nkasome masters inawezekana?
Wapo wengi tu,aliyekuwa DC wa kiteto,Mh Magesa,amesoma DIT,advanced diploma in engineering,akatoka Hapo,akaenda UD,akapiga masters,Sidhani yaani usome masters bila undergraduate degree...hii ni sawa na kwenda peponi bila kufa.
Mkuu, kwanza nikufahamishe, Higher Diploma na Advanced Diploma ni vitu viwili tofauti kabisa.Habari wakuu
Ningependa kufahamu juu ya hili jambo nina Higher Diploma nataka nikasome Masters inawezekana?
Mimi nna higher diploma na nna gpa 4.2Mkuu, kwanza nikufahamishe, Higher Diploma na Advanced Diploma ni vitu viwili tofauti kabisa.
Ukiwa na Advanced Diploma na una GPA ya 3.5 na kuendelea, unaruhusiwa kufanya Master Degree moja kwa moja bila kupitia Postgraduate Diploma.
Umemaliza mwaka gani?Mimi nna higher diploma na nna gpa 4.2
Okay, Higher Diploma hauwezi kusoma Master Degree, sababu sio equivalent to Bachelor Degree. Ingekuwa Advanced Diploma na hiyo GPA yako ungepokelewa mapema kabisa.Mwaka jana kaka
Umeeleza vizuri kweli mkuu.HIGHER DIPLOMA NI SAWA NA NATIONAL TRAINING AWARD (NTA LEVEL 7) NA UNAIPATA NDANI YA MIAKA MIWILI, ADVANCED DIPLOMA ILIKUWA UNAIPATA NDANI YA MIAKA MITATU(NTA LEVEL 8) AMBAYO NI SAWA NA BACHELOR DEGREE , KWAHIYO HIGHER DIPLOMA UWEZI KUSOMA MASTERS DIRECT LAZIMA USOME KWANZA POST GRADUATE