Unaweza kuwa millionaire kwa kufanya kazi parttime katika field ya network marketing

1975

Senior Member
Jul 9, 2009
131
18
Ndugu yangu katika mfumo soko asili kiwanda huzalisha bidhaa hufanya masoko (media,mabango,....) na kumuuzia agent kisha agent humuuzia mfanyabiashara wa jumla na mufanya biashara wa jumla humuuzia mulaji hao wote wewe ndio unawalipa ndio maana cocacola kiwandani sh260 lakini dukani sh 500.Sasa upo mufumo huru wa network marketing au mufumo masoko mtandao ambao wenyewe hutoa middle man wote na kumuuzia moja kwa moja mulaji halafu faida inyotokana na kutangaza,middleman cost and profits mnagawana nayo nitaeleza,leo unajiunga kwangu ambaye tayari nimejiunga halafu unatafuta watu wa chini yako watatu na wao wanatafuta watu wa chini yao watatu inaenedelea hivyo hivyo kama inavyoonyesha hapo chini
1=wewe
(1*3)+1=4
(3*3)+4=12
(9*3)+12=39
(27*3)+39=120
na kuendelea
hawa watu 120 wakitumia bidhaa uzoefu unaonyesha utapata si chini ya sh 2000000 kwa mwenzi
FAIDA ZAKLE
-LEO UKIUGUA AU KUFA MWAJIRI WAKO HATAENDELEA KULIPA MSHAHARA
-INATUMIA MUDA MCHACHE UNAENDELEA NA AJIRA YAKO NA UNAWEZA UKATUMIA MASAA MAWILI TUU KWA SIKU
-INARITHIKA HII INAMAANA UTAENDELEA KUPATA HERA HATA VITUKUU VYAKO VITAENDELEA KUFAIDI HATA BAADA YA WEWE KUFA
NIPIGIE 0717031290 kwa maelezo zaidi.Pia tembelea ofisi yetu MILENIUM TOWER(GOROFA YA PILI) gorofa ya pili uliza MWAKITALU huyu ni network marketing consutancy mwenye uzoefu wa kutosha namba yake ni 0714912856 mwambie MENLEY MGATA Kanambia nije kwako.
Asante kwa kusoma na kuchukua action{HUUZI BIDHAA UNATUMIA NA KUTAFUTA WATUMIAJI NA YEYETO ANA SIMU HIVYO ANAOWATU KWENYE SIMU HATA WAWILI NI ASSET KWAKO}
 
ndugu yangu katika mfumo soko asili kiwanda huzalisha bidhaa hufanya masoko (media,mabango,....) na kumuuzia agent kisha agent humuuzia mfanyabiashara wa jumla na mufanya biashara wa jumla humuuzia mulaji hao wote wewe ndio unawalipa ndio maana cocacola kiwandani sh260 lakini dukani sh 500.sasa upo mufumo huru wa network marketing au mufumo masoko mtandao ambao wenyewe hutoa middle man wote na kumuuzia moja kwa moja mulaji halafu faida inyotokana na kutangaza,middleman cost and profits mnagawana nayo nitaeleza,leo unajiunga kwangu ambaye tayari nimejiunga halafu unatafuta watu wa chini yako watatu na wao wanatafuta watu wa chini yao watatu inaenedelea hivyo hivyo kama inavyoonyesha hapo chini
1=wewe
(1*3)+1=4
(3*3)+4=12
(9*3)+12=39
(27*3)+39=120
na kuendelea
hawa watu 120 wakitumia bidhaa uzoefu unaonyesha utapata si chini ya sh 2000000 kwa mwenzi
faida zakle
-leo ukiugua au kufa mwajiri wako hataendelea kulipa mshahara
-inatumia muda mchache unaendelea na ajira yako na unaweza ukatumia masaa mawili tuu kwa siku
-inarithika hii inamaana utaendelea kupata hera hata vitukuu vyako vitaendelea kufaidi hata baada ya wewe kufa
nipigie 0717031290 kwa maelezo zaidi.pia tembelea ofisi yetu milenium tower(gorofa ya pili) gorofa ya pili uliza mwakitalu huyu ni network marketing consutancy mwenye uzoefu wa kutosha namba yake ni 0714912856 mwambie menley mgata kanambia nije kwako.
Asante kwa kusoma na kuchukua action{huuzi bidhaa unatumia na kutafuta watumiaji na yeyeto ana simu hivyo anaowatu kwenye simu hata wawili ni asset kwako}

hizo biashara zako ni pasua kichwa na hazifai kabisa. Labda uwadanganye wasio jua hiyo biashara.

Kama haihusiani na kuuza madawa mimi nitakutafuta but kama inahusiana na kunadi bidhaa za wazungu na wachina mimi humo sipo.
 
Ndugu yangu Mzalenda ni lazima utakuwa unahitaji somo usihofu karibu sana milenium tower gorofa ya pili uliza Mwakitalu yeye n expert aliyebobea kwenye network marketing,just go there and tell him that Menley Mgata told me to come to you his number is 0714912856
 
Hiyo biashara naijua ni mchosho tu unatakiwa uwe mtaalamu wa kuuza maneno haina tofauti na umachinga unatakiwa umsomeshe mwenzako mpaka akuelewe anunue bidhaa yoyote kwenye mtandao maalum kwa imani mwenzako akishanunua wewe uliyemwelekeza unapata faida ndio maana jamaa kasema mwambie "menley mgata kanambia nije kwako"manake ni kuwa kwa wewe kununua kitu huko huyu menley mgata anapata faida zaidi.
Ni biashara moja ambayo ni ngumu sana kwa hizi nchi zetu masikini hasa Tanzania manake bidhaa zenyewe unakuta bei ya chini ni kama dola 600 kama shilingi laki 9 hivi sasa ni wangapi utawasomesha mpaka wanunue kitu cha bei hiyo,ni ngumu kwa kweli hapa tz.
Mimi kwa kweli watu ambao nawafahamu walioingia kwenye hiyo biashara wanaishia kushindwa na kupata hasara kubwa,ni umachinga fulani.
 
Watu wenyewe wanaosema unaweza kuwa millionnaire hawana kitu.
 
ndugu yangu mzalenda ni lazima utakuwa unahitaji somo usihofu karibu sana milenium tower gorofa ya pili uliza mwakitalu yeye n expert aliyebobea kwenye network marketing,just go there and tell him that menley mgata told me to come to you his number is 0714912856


mkuu hizo dawa zenu ni za kutia watu umasikini tu. Umilionea gani wakati mtu anaye fanya hiyo biashara hata nauli ya kupanda basi huwa ni shughuli. Nyie na mamirionea kiasi gani?
Biashara ya umachinga ni ngumu sana mkuu
 
Si kweli ndugu zangu kwamba hii biashara inatakiwa kuuza maneno,kinachotakiwa ni kidogo sana yaani kutafuta watu wachache kwenye contact za simu yako au email yako na kuwashauri kuwa konsumer na katika kujoin kwao wewe unakuwa sponsor wao na the same na wao watafanya kama wewe and the chain will go on,kwa wale waliosoma kitabu cha Donald trump anasema "one thing is know is that I knows nothing",sasa kwa nini basi usichukue action halafu udiside"DONT BELIEVE ANY THING UNTIL YOU SEE WHAT IS INSIDE,COME AND LISTEN THEN YOU TAE YOUR OPTION"
 
Mzalendo kwenye hii network marketing unampata mutu kama Kapuya,rwakatale na wengine wengi tuu ambao tumesoma hata kufikia masters "what you think tunatembeza bidhaa mtaani,NO YOU MUST BE JOKING".Ndio maana ninasema Mzalendo come we will teach you how to earn money just after calling few numbers from your phone contact,earn money through charting in e space with your old shool mates.Hao wanaotembeza bidhaa waulize are they trained [30 minutes training is enough to change Mzalendo's mindset]
 
Husnio just come you will enjoy the tea,if possible can you SMS me and I will come to your favoured place ,so we discuss.
 
To every one if you are in Dar es salaam can we meet?
I will take just 10 minutes of your time,si zaidi ya hapo kwani najua muda ni dhahabu sana kwangu mimi na kwenu{Nieleze tuu nikupate wapi tuongee namba yangu ni 0717031290 au napatikana sana kwa email hii mgata.menley@huawei.com}.
 
Halafu hawa jamaa ni wajanja na wazoefu wanaweza kuongea na wewe maneno mengi kwa mda mfupi wanakujenga kisaikolojia na wimbo wao mkubwa ni utakua milionea,sasa wakifanikiwa kukuteka ukanunua bidhaa kwenye mtandao wao na wewe hutataka kuingia hasara utapambana upate mtu mwingine wa kununua bidhaa kwenye huo mtandao usipopata mtu imekula kwako,huo ni umachinga watu wajanja wameanzisha kamtandao kakulamba hela za watu,hizi zote jamii za wakinaDECI
 
Naendelea kusisitiza kwa kila mmoja kwamba njoo tuongee dakika kumi tuu ziatatosha halafu utachagua option unayoitaka.namba yangu ni 0717031290 na email yango mgata.menley@huawei.com
 
Back
Top Bottom