2017 No Name
Senior Member
- Jul 26, 2017
- 172
- 133
Kwa ambao mnajua ningependa kuelimishwa. Mfano ukiwa unaishi Tanzania, ikatokea umeenda kufanya kazi nje ya nchi,kazi ya muda mfupi tu na kurudi. Mfano wewe ni bondia umeenda kupigana tu na kurudi,au ni msanii umeenda kufanya show tu na kurudi au unatoa huduma kwa njia ya mtandao wewe kama wewe na wateja wako walio nje ya nchi wanakutumia hela ila sio tz moja kwa moja bali kwenye account yako iliyo nje ya nchi mf Pay pal.
Kwa nnavyojua nchi ulikopata hiyo hela watakukata kodi ya mapato. Swali langu ni je ukirudi na hio hela tz utakatwa kodi tena? Na je ni kwa kiasi gani?
Swali langu lingine, Double taxation law ni nini na inafanyaje kazi.
Kwa nnavyojua nchi ulikopata hiyo hela watakukata kodi ya mapato. Swali langu ni je ukirudi na hio hela tz utakatwa kodi tena? Na je ni kwa kiasi gani?
Swali langu lingine, Double taxation law ni nini na inafanyaje kazi.
Last edited by a moderator: