Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,251
- 83,636
Ndiyo kwa sababu comment yako inaonyesha ni kama vile wanawake WOTE (na siyo BAADHI) wana tabia ya kubambikia wanaume zao watoto wasio wao
Uzi unahusu mkaka wa Dar yumo humu JF kamtumia nauli mdada wa Mwanza aende Dar akampe mzigo kufika kule mdada akamwambia wakapime mkaka akakataa mdada akamwambia basi hakuna mzigo akamzuga akamkimbia kama nakuona unavyoenda kumtukana huyo dada na kumdharau huyo kaka Lizarazu
Uzi unahusu mkaka wa Dar yumo humu JF kamtumia nauli mdada wa Mwanza aende Dar akampe mzigo kufika kule mdada akamwambia wakapime mkaka akakataa mdada akamwambia basi hakuna mzigo akamzuga akamkimbia kama nakuona unavyoenda kumtukana huyo dada na kumdharau huyo kaka Lizarazu
Sasa wewe Unaona hiyo comment yako inaendana na maudhui ya hii Mada!? wewe ndio unapenda Sana kubadilisha Mada.
Uzi upi huo na unahusu nini?