Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,806
Habari JF,
Kuna dogo yuko mwaka wa pili semester TWO anataka kusimamisha masomo kwa sababu ya ada.
Anasema bodi ya mkopo wamemlipia kiasi so haiwezi kulipa huu mwaka hivyo kwa mujibu wake anasema anaenda kupambana ili mwaka kesho Aendelee na semester ya pili.
Ikumbukwe Boom zote 4 za second year ametumia (kusolve matatizo ya maradhi kwa mzazi wake)
Je, atakapo malizia mwaka wa pili afikapo mwaka wa tatu atapata mkopo wake?
Au ndio BC tena
Naomba kuwasilisha
Kuna dogo yuko mwaka wa pili semester TWO anataka kusimamisha masomo kwa sababu ya ada.
Anasema bodi ya mkopo wamemlipia kiasi so haiwezi kulipa huu mwaka hivyo kwa mujibu wake anasema anaenda kupambana ili mwaka kesho Aendelee na semester ya pili.
Ikumbukwe Boom zote 4 za second year ametumia (kusolve matatizo ya maradhi kwa mzazi wake)
Je, atakapo malizia mwaka wa pili afikapo mwaka wa tatu atapata mkopo wake?
Au ndio BC tena
Naomba kuwasilisha