Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,741
heshimu tu maamuzi yake isije kukugharimu baadaeYeye ndo kasema hawezi ishi na asie amini mungu
heshimu tu maamuzi yake isije kukugharimu baadaeYeye ndo kasema hawezi ishi na asie amini mungu
Kwanini usimuache bro ! Mbona ni rahisi tu. Asiemuamini Mola huyo ni mshiriki na vipi utamuoa mshirikina mzee ?Una mpenzi wako, mpo katika uchumba. Kwa kipindi chote ame fake kuwa ni muumini wa dini fulani ambayo ndio unayo wewe.
Sasa siku unakuja gundua si kweli, hana dini na haamini uwepo wa Mungu.
Mambo mengine yupo safi, ni mstaarabu na mwenye nidhamu. Hajawahi kukutonesha, kukuumiza wala kukutenda. Anakupenda sana nawe wampenda. Hana tatizo na imani yako, kakupa uhuru uamini utakavyo..
Eti, waweza mwacha kisa tu haamini uwepo wa mungu, na pamoja na jitihada za kumbadilisha zimegonga mwamba?
Karibuni,
Ndio ukwelitaratibu basi eti
Iko tofauti kabisaNdio ukweli
Uko sahihi kabisa,mimi wife anawapenda mpaka scholars (Wasomi) ninao wapenda na kuwakubali.Ukimpenda mtu unapenda na yote anayoyapenda
hapana Mama S...... mengine unamwachia aendelee nayo.........mnapendana angali yeye mpagani ...... sawa ila watoto...hapana my friend.... huwezi penda yote....Ukimpenda mtu unapenda na yote anayoyapenda