Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
- Thread starter
- #41
Hilo janaume ni f@la na lof@ kuwahi kutokea.! Kwa nini msingeliongezea mkong'oto? Nimechukia eti mlimsaidia, kwa nini? Majitu kama hayo ni ya kuyaongeza kipigo tu.!Duh nakumbuka nilikuaga mdogo ila kuna tukio halifutiki kichwani, tulikua home na mama , mara tukasikia jirani mke anagombana na mumewe, niliskia huyo baba analia kwa uchungu mno ikabidi mama atoke namimi nikamfata aisee niliona huyo mke anamvuta pumbu mumewe katoka naye ndani kazishikilia anavuta aisee yule baba alivolia na kuomba msamaha aachiwe, ndiyo nakumbuka kwamba huenda kweli zinauma sana. Mimi siwezi kuumiza mali ambazo tunatumia wote, nahisi tunaumiza watoto Mungu aliowahifadhi humo .
Ila muache jeuri sasa