Habar gan wana jf? Nina gf wangu ambaye npo naye foq 1yr na kuhsu mapenzi anadai mpaka amalze ckul koz akianza watamgundua zaid ya hapo anadai wanapopelekwa kupima manesi huwa wanamsifia kwa kujitunza so akianza watamgundua jamani hii ni kwel au anapoteza muda wangu.
Naomba ushauri wenu.
Naomba ushauri wenu.