Unaweza kumgundua msichana aliye loose virginity soon.

Estyzo

Senior Member
Jul 24, 2011
158
39
Habar gan wana jf? Nina gf wangu ambaye npo naye foq 1yr na kuhsu mapenzi anadai mpaka amalze ckul koz akianza watamgundua zaid ya hapo anadai wanapopelekwa kupima manesi huwa wanamsifia kwa kujitunza so akianza watamgundua jamani hii ni kwel au anapoteza muda wangu.
Naomba ushauri wenu.
 
kwani wewe mwenyewe hujawahi kupima oil kujua kama lisemwalo lipo?.

its not possible to check in any way if girl is virgin or not. even medical examination wont be able find out 100%. the hymen which was considered the proof of virginity which breaks during intercourse, is myth. hymen can break if girls play, run, ride bicycle, swim etc. the only ways are to trust them or use lie detectorhttp://in.answers.yahoo.com/question/index?qid=20110102015930AAY9drz.

Hata kama anaona aibu kuchojo, hiyo haikupi uhakika kama binti ni bikra...labda kama ulikuwa ukimfahamu kabla alikuwa akitembeaje< pengine kitaalamu aliyepoteza bikra anatembea kwa kutanua miguu kidogo..
 
Habar gan wana jf? Nina gf wangu ambaye npo naye foq 1yr na kuhsu mapenzi anadai mpaka amalze ckul koz akianza watamgundua zaid ya hapo anadai wanapopelekwa kupima manesi huwa wanamsifia kwa kujitunza so akianza watamgundua jamani hii ni kwel au anapoteza muda wangu.<br />
Naomba ushauri wenu.
<br />
<br />
Babaaaa unaibiwa erooo
 
kwani wewe mwenyewe hujawahi kupima oil kujua kama lisemwalo lipo?. <br />
<br />
<br />
<br />
Hata kama anaona aibu kuchojo, hiyo haikupi uhakika kama binti ni bikra...labda kama ulikuwa ukimfahamu kabla alikuwa akitembeaje&lt; pengine kitaalamu aliyepoteza bikra anatembea kwa kutanua miguu kidogo..
<br />
<br />
da kupima oil nazani itakuwa ishu mpaka sasa nafikiria ku end relation cause tar 17 natarajia kwenda chuo (UDOM) na masharti magumu mala ndoa mala shule mala anataka aone nitakavyo mvumilia mpaka naona kero kumeet naye.
 
Kuna manesi waliniambia kuanzia miaka 90 kuja 2011 Watoto karibu wote waliozaliwa hawakukutwa na Bikra sasa sijui ni nani huwa anawatoa humo matumboni mwa Mama zao!

Hebu tuambie huyo wako kazaliwa Mwaka gani na utapata Jibu mwenyewe....
 
Kama unampenda naye anakupenda mwamini na uzidi kumpenda usitake kumuonja. kwa nini sio wavumilivu nyie wanaume kha eti utajuaje kuwa ni bikra. kha na wewe ataku8juaje kuwa ni mwanaume unayezalisha.:tea:
 
Kuna manesi waliniambia kuanzia miaka 90 kuja 2011 Watoto karibu wote waliozaliwa hawakukutwa na Bikra sasa sijui ni nani huwa anawatoa humo matumboni mwa Mama zao! <br />
<br />
Hebu tuambie huyo wako kazaliwa Mwaka gani na utapata Jibu mwenyewe....
<br />
<br />
Mmh we kweli raisi wa pemba,
 
Wewe hauoni huyo ni mtoto wa shule? kwani lazima huyo? kaoe upate nafasi kuchunguza vizuri kwa uhuru wako nawamkeo pia
 
Kuna manesi waliniambia kuanzia miaka 90 kuja 2011 Watoto karibu wote waliozaliwa hawakukutwa na Bikra sasa sijui ni nani huwa anawatoa humo matumboni mwa Mama zao! <br />
<br />
Hebu tuambie huyo wako kazaliwa Mwaka gani na utapata Jibu mwenyewe....
lol! Hiyo inatokea kwa wale ambao wakati mama zao wana kitumbo walikuwa wanaendelea ku-Do. Mambo dabodabo! :)
 
Back
Top Bottom