Unaweza kumdharau mtu mwenye elimu ndogo lakini vipi kuhusu mwenye PhD na hajui hata maana ya VAT?

Km kuna watu bado wanajitamba na kudharau wengine ktk karne hii eti kisa wamesoma sana hao bado wapo ktk analog system,mtu akileta dharau muulize tu umeona wapi mtu anakufa halafu ukaona ndugu wanashikana mashati au kupelekana mahakamani kwa kugombania kurithi wa vyeti vya marehemu..**** ***** zake nshachoka kusoma mie halafu mwisho wa siku rais wa wasafi form4 failure tu ndo ananunua nyumba South Africa wanaojiita wasomi wanaishia kuendesha i.s.t za mkopo hahahaa
 
JF ni kisima cha mitizamo...!!


VAT maana yake inategemea umesimama pembe ipi. Mfano VAT yaweza kuwa
1.Vumilia Ainyooshe Tanzania
2.Vyama Asidi Tuondoleeni
3.Value Added Tax
4.Vuta Asubuhi Tule
Watu wa PhD wana majibu kibao kama hauta weka mipaka ya aina ya jibu unalohitaji.
 
Nimekutana na comment moja humu ikionyesha kuwadharau watu fulani kwasababu ya elimu yao ndogo.

Mimi naomba kuwauliza watu hawa hivi mtu mwenye PhD (Doctor of philosophy) na hajui hata maana ya VAT huyu tumuweke kundi gani?
Wew umepindisha mantiki yako; uliza mtu mwenye PhD asiyejua kua Italy ilijenga nyumba za wahanga wa tetemeko
 
Mimi siami kuwa na elimu kubwa ndio kuwa wezo wa jujuwa kila kitu.hilo sio kweli.Mtu anaweza kuwa na elimu ndigo , lakini akawa na uwezo mkubwa wa kufikiri au akawa na uweza wa kujuwa mambo makubwa.Mfano mzuri tu ni viongozi wa ccm au serikali.Tanzania ina viongozi wasomi wengi tu. LAKINI HAINA MAENDELEO.huu ni mfano tosha.mtu waweza kuwa na elimu ya wastani ukajuawa mambo ya muhimu katika maisha ya ulimwengu huu.Ngitaje kiongozi mmoja tu mwenye elimu ya wastani. 'John Mnyika'. Uwezo wake wa kufikiri au kujuwa mambo. Inaweza kuwa sawa na wabunge 50 wa chama cha mandondocha(ccm).
 
VAT maana yake inategemea umesimama pembe ipi. Mfano VAT yaweza kuwa
1.Vumilia Ainyooshe Tanzania
2.Vyama Asidi Tuondoleeni
3.Value Added Tax
4.Vuta Asubuhi Tule
Watu wa PhD wana majibu kibao kama hauta weka mipaka ya aina ya jibu unalohitaji.
Vua Asha Tuanze
 
Kuwa na Phd siyo kujua kila kitu pia ukumbuke kuwa watu wanasomea maswala ya kodi maana ni taaluma, sasa unaposema eti kwa vile tu mtu ana Phd basi automatically anapaswa ajue VAT, ni swala lisilo na mantiki maana hujaonyesha hiyo Phd ni ya maswala gani?
 
Nakumbuka mmoja alisema Vat kwy miamala ya simu hawatatozwa wananchi Bali makampuni ya simu,asijue anayelipa Vat ni final consumer, hatari sana
 
Hawa wanaodharau wasiosoma ndio wengi ama wana vyeti feki au wamenunua mitihani kama kweli umesoma tumia elimu yako kumwinua asiyesoma badala ya kulalamika hakuna ajira serikalini
 
Mimi nimeishia grade 8 kule Nigeria lakini sijui maana ya V.A.T
teh teh teh teh ......
 
Mimi nadhani MTU anakuwa na PHD ya kile alichobobea,kwa hyo MTU mwenye PHD kutofahamu ya VAT sioni ajabu,ni kama Mimi nilipokuwa O level enzi hzo nilikuwa siwaelewi watu wakisema KUFUNGUA NA KUFUNGA MAKABATI!!!
 
Ajue VAT kwani amesomea mambo ya kodi ???
Hili swali lako limekaa kitotototooooo,

Kama hujaelewa kitu si mbaya kuuliza ufafanuzi.

Au nikuulize, kujua kuwa ukiwa unaumwa ukinywa dawa unapona ni lazima uwe umesomea Utabibu?
 
Nimekutana na comment moja humu ikionyesha kuwadharau watu fulani kwasababu ya elimu yao ndogo.

Mimi naomba kuwauliza watu hawa hivi mtu mwenye PhD (Doctor of philosophy) na hajui hata maana ya VAT huyu tumuweke kundi gani?
Kwako wewe nini maana ya vat,
 
Huwezi kumwelewa mleta hoja kama umeshalishwa unga wa ndele.Mimi namuunga mkono mleta hoja kwani alieleta bajeti inayosema benk na kampuni za simu zitozwe vat ni Dr Mpango.pia waliopitisha na kuunga mkono vat ktk benk na simu ni wabunge wa ccm ambao miongoni mwao wamo phd kibao.Lakini baada ya sisi wananchi tusiokuwa na phd kulalamika kuwa hiyo vat itatuumiza sisi watumiaji walalahoi ,dr mpango alitoa ufafanuzi kuwa vat hii watailipa benk na kampuni za simu siyo watumiaji wa mwisho kinyume kabisa dhana halisi ya vat,.Baada ya muda ndio kama ulivyosikia tunakamuliwa vat kwenye miamala ya simu na benk.Hivyo phd mzima hajui maana ya vat, kwa mpango huu wasomi phd wa tanzania ni shida bini vihiyo
Alaa kumbe....
 
Kuwa na Phd siyo kujua kila kitu pia ukumbuke kuwa watu wanasomea maswala ya kodi maana ni taaluma, sasa unaposema eti kwa vile tu mtu ana Phd basi automatically anapaswa ajue VAT, ni swala lisilo na mantiki maana hujaonyesha hiyo Phd ni ya maswala gani?
...
Tatizo anawaza hiyo oil ya maganda ya korosho yazuiayo kutu nayo yatozwe kodi ili kumkomoa mgunduzi wake ambaye aziba mianya ya rushwa na ukwepaji kodi (kibonzo)
 
Back
Top Bottom